Tuishi kama Simba Na Yanga

Tuishi kama Simba Na Yanga

chini ya reli

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2015
Posts
236
Reaction score
358
Natamani Tufikie Siku Moja Tuziishi Siasa za Tanzania Kama Tulivyoweza Kuishi Ushabiki wa Simba na Yanga Mtaani Wote Tukikaa Pamoja Tukitambiana bila kuumizana.

Tuishi kama Democratic na Republican..Tuoneshe mfano kwa Africa kuhusu Demokrasia ya kwel kama Tunavyowashangaza kwenye Simba Na Yanga
 
Back
Top Bottom