Tuishi vizuri na EX wetu, wanaweza kuwa msaada utakapokwama

Tuishi vizuri na EX wetu, wanaweza kuwa msaada utakapokwama

robbinhood

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2020
Posts
526
Reaction score
1,524
Wakuu wa idara habari

Katika maisha ya mahusiano huwa najitaidi sana ikifika point ya kuachana na mtu nilienae basi huwa naacha nae kwa amani kabisa, yaani bila matusi bila kashfa yoyote na kikubwa ni kutomsema vibaya

Basi kama mliishi vyema, Ex wako anawezakuwa msaada pale utakapo kwama. Hii juzi sijamaani naongea na ex wangu akagundua sipo vizuri basi kuniuliza nini shida nikamjibu tatizo langu, daah! sikuamini kama alikua msaada wa mbele kutatua tatizo langu.

Tuishi vizuri na maEx wetu kwani kuachana nayo ni hatua tu mojawapo katika maisha.
 
Kulialia Mwisho Utakuja Vunja Nyumba Ya Watu
Kuna Comment Moja Mujarabu Ilitolewa Na Member


Akasema Bila Visasi North Korea Isingekuwepo
HATA Israel Pia
 
"Haijawah kutokea..... Since world created.... Mutengane na mpenz wako alafu wote muwe na kiwango sawa cha kurzka na kilichotokea...... N lazma tu mmoja achkie Disintegration yenu..... And this acted as trigger for occurrence enmity btwn to lovers..... Sio kwa mapenz yet mkuu.... Ila automatic huwa inatokeaga tu"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli mkuu alafu kama mliachana kwa Amani huwaga wanakuwa faster sana kutoa msaada...!!!
 
Dah...kupasha kiporo cha wali ni rahisi kuliko kupika wali [emoji2960]
 
Wakuu wa idara habari

Katika maisha ya mahusiano huwa najitaidi sana ikifika point ya kuachana na mtu nilienae basi huwa naacha nae kwa amani kabisa, yaani bila matusi bila kashfa yoyote na kikubwa ni kutomsema vibaya

Basi kama mliishi vyema, Ex wako anawezakuwa msaada pale utakapo kwama. Hii juzi sijamaani naongea na ex wangu akagundua sipo vizuri basi kuniuliza nini shida nikamjibu tatizo langu, daah! sikuamini kama alikua msaada wa mbele kutatua tatizo langu.

Tuishi vizuri na maEx wetu kwani kuachana nayo ni hatua tu mojawapo katika maisha.
Mimi wengi hurudia nao mechi,hata jana kuna mmoja miaka 4 sijamuona ile kukutana nae tu malalamiko kama yote leo nakesha nae mpka kunakucha
 
Back
Top Bottom