Tuishi vizuri na EX wetu, wanaweza kuwa msaada utakapokwama

Tuishi vizuri na EX wetu, wanaweza kuwa msaada utakapokwama

[emoji16][emoji16]huu uzi huu, kuna wa2 utawapeleka kubaya...ok, lets make it easy.
Achana nae kwa wema ila usiwe na mazoea nae. Hawa watu, wengi wao hulipizaga kisasi, hasa wanawake wengi hupenda kulipiza kisasi, naongea kwa experience...mana kuna mengi yalokuta wa2 kwaajili ya hiihii issue.

hitimisho, achana nae kwa wema ila kata mazoea...[emoji41]
 
Kwa mwanamke yeyote haipendezi kumlilia shida ya hela mume wa mtu, huko ni kumtaka kimapenzi na kujilengesha!

Kama huna hila moyoni mwako kamuombe mkewe akusaidie na siyo kulialia shida kwa waume za watu.
 
Wakuu wa idara habari

Katika maisha ya mahusiano huwa najitaidi sana ikifika point ya kuachana na mtu nilienae basi huwa naacha nae kwa amani kabisa, yaani bila matusi bila kashfa yoyote na kikubwa ni kutomsema vibaya

Basi kama mliishi vyema, Ex wako anawezakuwa msaada pale utakapo kwama. Hii juzi sijamaani naongea na ex wangu akagundua sipo vizuri basi kuniuliza nini shida nikamjibu tatizo langu, daah! sikuamini kama alikua msaada wa mbele kutatua tatizo langu.

Tuishi vizuri na maEx wetu kwani kuachana nayo ni hatua tu mojawapo katika maisha.
Sawa
 
Back
Top Bottom