Tuishie kwenye kuandika hukumu kwa lugha adhimu ya Kiswahili au twende mbali zaidi?

Tuishie kwenye kuandika hukumu kwa lugha adhimu ya Kiswahili au twende mbali zaidi?

Ukisikia kuingizwa chaka ndio huku one man show ndiyo hii
Kilajambo kubwa huwa na sera hivi hili hata kwenye kile kitabu chenye kurasa miatatu na ushee(ilani ccm) lipo uk upi? Katiba inasemaje au imebadili kipengele kinacho elekeza

Tisikurupuke
 
Tukawavue majaji majoho na mahakimu wasivae suti wakavae migololo na singe kama Chief Mkwawa
 
Sheria kuandikwa kwa lugha ya kiswahili sio mwarobaini wa kupatikana kwa haki na watu kuelewa hizo sheria kama msingi wa sheria ni ukandamizaji zitabaki kuwa hivyo hivyo hata kama tukiandika kwa lugha zetu za makabila.
Ili utembee lzm uanze na hatua moja unaendelea na safari tuanze na hilo la jukumu mengine yatafuatia.
 
Back
Top Bottom