SinaMdaa
Member
- Jul 11, 2023
- 32
- 67
Salamu wanajamvi.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Tuishi nao kwa Akili, ni moja ya msemo uliotolewa kwenye maandiko na watu wengi hupenda kuutumia pale linapozungumziwa suala la kuishi na mwanamke.
Mimi nawaza toafuti kidogo maana naona ukitumia Akili yako yote kuwaza na kuwazua jinsi ya kuishi na hawa viumbe utajikuta unawachoka na utashindwa kuhusiana nao kabisa.
Chukulia mfano,una mchumba unamjali unampenda unamcare, muda mwingi utataka kujua anaendeleaje,yupo wapi,anafanya nini,anaenda wapi na anaendaje.Yote haya siku ya siku anakuambia unamfuatilia sana na kwa sababu hiyo anadhani humuamini.
Unaamua kumwelewa na kumwamini na kumpa hicho anachosema ni uhuru,unakuwa unampigia mara chache zile za muhimu, ukitaka kwenda kumuona unamuuliza kwanza kama yupo tayari ama la na unafanya anavyotaka yeye,mostly unamwacha anajisimamia kwa kua unamuamini.Siku ya siku anakuja kukuambia "hunipendi umepunguza attentions".
Ivi ukitumia Akili kuishi nao sio ndio utashindwa kabisa maana kutumia Akili kuishi na mtu ambaye mostly hajui anataka nini nikujichosha.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Tuishi nao kwa Akili, ni moja ya msemo uliotolewa kwenye maandiko na watu wengi hupenda kuutumia pale linapozungumziwa suala la kuishi na mwanamke.
Mimi nawaza toafuti kidogo maana naona ukitumia Akili yako yote kuwaza na kuwazua jinsi ya kuishi na hawa viumbe utajikuta unawachoka na utashindwa kuhusiana nao kabisa.
Chukulia mfano,una mchumba unamjali unampenda unamcare, muda mwingi utataka kujua anaendeleaje,yupo wapi,anafanya nini,anaenda wapi na anaendaje.Yote haya siku ya siku anakuambia unamfuatilia sana na kwa sababu hiyo anadhani humuamini.
Unaamua kumwelewa na kumwamini na kumpa hicho anachosema ni uhuru,unakuwa unampigia mara chache zile za muhimu, ukitaka kwenda kumuona unamuuliza kwanza kama yupo tayari ama la na unafanya anavyotaka yeye,mostly unamwacha anajisimamia kwa kua unamuamini.Siku ya siku anakuja kukuambia "hunipendi umepunguza attentions".
Ivi ukitumia Akili kuishi nao sio ndio utashindwa kabisa maana kutumia Akili kuishi na mtu ambaye mostly hajui anataka nini nikujichosha.