Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Kuishi nao Kwa akili ni mambo mawili lazima uhakikishe yanapishana furaha na huzuni
Leo umpe furaha asahau karaha zoooote
Kesho umpe bonge la huzuni ahuzunike
Hizi ndiyo akili unazopaswa kuzifanya yaani Kila ck uhakikishe kimoja wapo umekitekeleza 100%.
Utekelezaji wake ndiyo unapaswa useti
Leo umpe furaha asahau karaha zoooote
Kesho umpe bonge la huzuni ahuzunike
Hizi ndiyo akili unazopaswa kuzifanya yaani Kila ck uhakikishe kimoja wapo umekitekeleza 100%.
Utekelezaji wake ndiyo unapaswa useti