tuition za huko kwa osama bin laden

tuition za huko kwa osama bin laden

chloe.obrain

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2010
Posts
391
Reaction score
21
hii picha imekaaje wadau? :A S 39:


suiccide.jpg
 
Tabu utakapofika muda wa wanafunzi kufanya majaribio ili kujua kama tuition imeingia akilini vizuri...watakwisha wote.
 


H aha ha ha ha si teacher atakufa?

....Ndo sababu kasema atafanya zoezi hilo mara moja tu, ina maana kama mwanafunzi wake hajaelewa basi imekula kwake.
 
Sina mbavu!!! Halafu mbona kama hiyo distance kati ya teacher na dents ni fupi si watakufa wote?
 
Nataka kuwa na signature kila ninapopost ionekana. How to go about. Nimeangalia kwenye profile yangu sikuona option. can you help, please!
 
Back
Top Bottom