Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Asaalam.
Wote tuliopo humu ni wapenzi wakubwa wa mitandao ya kijamii tukianza na huu uliyotuleva yaani JF.
Nguvu ya mitandao ya kijamii kututoa katika uhalisia tunaoishi ni kubwa saana. Muda mwingi unaweza kujikuta unautumia kwenye mitandao na kuyasahau maisha yako halisia.
Ok, hoja yangu ni wale watu mliopo kwenye mahusiano/ndoa mna wake na watoto mnakutana na changamoto gani zinazosababishwa na mitandao hii mnayotumia! mnapambana nazo vipi? Wenza wenu walishalalamika kuhusu hizi changamoto? huwa unayachukuliajr malalamiko yake? yana ukweli au ni usumbufu tu?
Wote tuliopo humu ni wapenzi wakubwa wa mitandao ya kijamii tukianza na huu uliyotuleva yaani JF.
Nguvu ya mitandao ya kijamii kututoa katika uhalisia tunaoishi ni kubwa saana. Muda mwingi unaweza kujikuta unautumia kwenye mitandao na kuyasahau maisha yako halisia.
Ok, hoja yangu ni wale watu mliopo kwenye mahusiano/ndoa mna wake na watoto mnakutana na changamoto gani zinazosababishwa na mitandao hii mnayotumia! mnapambana nazo vipi? Wenza wenu walishalalamika kuhusu hizi changamoto? huwa unayachukuliajr malalamiko yake? yana ukweli au ni usumbufu tu?