Tujadili: Athari za mitandao ya kijamii na maisha yetu ya mahusiano

Tujadili: Athari za mitandao ya kijamii na maisha yetu ya mahusiano

Hakuna madhara,kwa sababu wengine tunaingia huku kwa ajili ya re-freshment tu na hatuupi nafasi ya kuharibu familia zetu,maisha halisi na wenzi wetu tunayo huku ulimwenguni tunaoonana uso kwa uso
 
Mda wa familia ni mda wa familia simu inakua pemben..ukiwa na mtu mmetoka out simu nayo iwe pemben kumpa mtu attention

Ni matter tu ya kujicontrol otherwise simu ndo itakucontrol,.
Lazima tuheshimu na kujali hisia za wengine kwa kuwapa muda na kuwasikiliza kwa umakini, hii mitandao IPO kila siku isitufanye tukosane na wapendwa wetu,..bravo my shouger[emoji106]
 
Hakuna madhara,kwa sababu wengine tunaingia huku kwa ajili ya re-freshment tu na hatuupi nafasi ya kuharibu familia zetu,maisha halisi na wenzi wetu tunayo huku ulimwenguni tunaoonana uso kwa uso
Unawezaje kubalance.. una ratiba? au ni paleunapojiskia ngoja niingie JF.

ngoja nimpe niliyenaye muda?
 
Lazima tuheshimu na kujali hisia za wengine kwa kuwapa muda na kuwasikiliza kwa umakini, hii mitandao IPO kila siku isitufanye tukosane na wapendwa wetu,..bravo my shouger[emoji106]
Tatizo tunalokumbana nalo JF hatutaki kujadili mapungufu yetu.

Ila muda mwingi tunajadili ukamilifu tunaotamani kuwa nao ndani mwetu.

Niamini huu uzi wamechangia zaidi ya watu kumi ila hakuna anayekiri anatatizo kwenye hili. Lakini hili ni tatizo lililofanyiwa tafiti kati ya watumiaji 10 wa mitandao ya kijamii basi 5 wanaathirika zaidi na ulimwengu wa mitandao ila wao wanakuwa hawajui.
 
Tatizo tunalokumbana nalo JF hatutaki kujadili mapungufu yetu.

Ila muda mwingi unajadili ukamilifu tunaotamani kuwa nao ndani mwetu.

Niamini huu uzi wamechangia zaidi ya watu kumi ila hakuna anayekiri anatatizo kwenye hili. Lakini hili ni tatizo lililofanyiwa tafiti kati ya watumiaji 10 wa mitandao ya kijamii basi 5 wanaathirika zaidi na ulimwengu wa mitandao ila wao wanakuwa hawajui.
D wangu,..umesema kweli,mm nakiri kabisaaa huwa napoteza concentration ninapokuwa niko katikati ya dimbwi la kwenye mitandao,niwe nachat au vyovyote vile..

Hii inapelekea kuonekana "sijali" mambo/mtu kwa wakati huo na hali hii hunisababishia manung'uniko mengi na lawama pia,.kitu ambacho si kizuri kwakweli,.
 
D wangu,..umesema kweli,mm nakiri kabisaaa huwa napoteza concentration ninapokuwa niko katikati ya dimbwi la kwenye mitandao,niwe nachat au vyovyote vile..

Hii inapelekea kuonekana "sijali" mambo/mtu kwa wakati huo na hali hii hunisababishia manung'uniko mengi na lawama pia,.kitu ambacho si kizuri kwakweli,.
Swali unakubaliana na lawama?

Ulishafikiria kuzitatua? unamshauri nini mtu mwenye tatizo kama lako.
 
Lazima tuheshimu na kujali hisia za wengine kwa kuwapa muda na kuwasikiliza kwa umakini, hii mitandao IPO kila siku isitufanye tukosane na wapendwa wetu,..bravo my shouger[emoji106]
[emoji3][emoji3]mbona me hunisikilizagi unakuaga busy kujisnap tu
 
Kimahusiano ni suala la mtazamo tu 1.kwa wale walio na mahisiano lakini wapo mbali from each other mitandao hii inaweza kutumika kwa ajili ya kuwaweka karibu kwa kua wataweza kuonana through live video calls za hii mitandao,chattung,na hata kutumiana picha kwa yale wanayoyafanya ili kuendeleza uaminifu,upendo na hata ukaribu baina yao.
2.Mitandao hii pia tunaweza sema imeondoa uhalisia wa kuexpress hisia halisi mtu alizo nazo ukilinganisha na watu walipokua wakikutana uso kwa uso kama matembezi ya jioni kwa pamoja,kuona kwa macho namna gani mwenzi wako anapokea taarifa na hisia zake juu ya hyo taarifa n.k,so uhalisia wa maisha ya mahusiano kwa namna moja ama nyingine huweza kuadhirika kwa maana mtu anaweza sema yuko okay kumbe hayupo ivo lakin kama kungekua na chansi ya kuonana nae ungeweza angalau ukatambua jambo lolote.
Bt kama nlivyosema mwanzo hili ni suala la mtazamo tuu
 
Swali unakubaliana na lawama?

Ulishafikiria kuzitatua? unamshauri nini mtu mwenye tatizo kama lako.
Lawama nazikubali lakini silaumiki,.kuzitatua kwa upande wangu "nimejitengea muda" ambao sitolaumika na yeyote na nakuwa huru zaidi na amani bila kuleta shida kwa upande wangu na mwingine,.ushauri;tujitahidi tuu kukabili hali kwa kuangalia na mazingira ya wakati huo kama unaona yatakuletea lawama basi epuka na kama ni jambo la muhimu halikwepeki kwa wakati huo kulifanya basi jitenge kuepuka/kuepusha ghadhabu na lawama kwako na kwa wenzako!!!
 
Mda wa familia ni mda wa familia simu inakua pemben..ukiwa na mtu mmetoka out simu nayo iwe pemben kumpa mtu attention

Ni matter tu ya kujicontrol otherwise simu ndo itakucontrol,.
kwakweli huo mtihani najitahidi kuushinda lakini naambulia K.O
 
Unawezaje kubalance.. una ratiba? au ni paleunapojiskia ngoja niingie JF.

ngoja nimpe niliyenaye muda?
Ni pale tu unapojisikia kuingia JF/ni sawa na unapohisi kiu ya maji ya kunywa na kuanza kuyatafuta
 
naona hii mada inawahusu walio kwenye mahusiano, nimepita tu bahati mbaya samahani
 
Back
Top Bottom