Sisi tusio kwenye mahusiano wala hatuna familia haturuhusiwi kuchangia?
Huo ni mguno au uneniita mheshimiwa
[emoji122][emoji122][emoji122]Mda wa familia ni mda wa familia simu inakua pemben..ukiwa na mtu mmetoka out simu nayo iwe pemben kumpa mtu attention
Ni matter tu ya kujicontrol otherwise simu ndo itakucontrol,.
Mheshimiwa (Mh.)haiandikwi mshangao mbele yake bali huwa na nukta, huo ni mgunoHuo ni mguno au uneniita mheshimiwa
Unaweza ukajilimit hivi kwa asilimia zote? upo vizuri saanaMda wa familia ni mda wa familia simu inakua pemben..ukiwa na mtu mmetoka out simu nayo iwe pemben kumpa mtu attention
Ni matter tu ya kujicontrol otherwise simu ndo itakucontrol,.
Huo ni mguno au uneniita mheshimiwa
Asante kwa ufafanuzi.Mheshimiwa (Mh.)haiandikwi mshangao mbele yake bali huwa na nukta, huo ni mguno
Ukubwa wa umri sio kigezo cha kuwa na familia wala kuwa katika mahusiano.Umri wako ni mdg kiasi cha kukosa mahusiano na familia?!
Nadhani ungesema sio kigezo kimoja tu.Ukubwa wa umri sio kigezo cha kuwa na familia wala kuwa katika mahusiano.
Haya tueleze namna unavyokabiliana na athari za mitandao kwenye mahusiano yako
napenda sana kuongea nikishika simu muda Hui nakua mpweke kama mud a HuiUkiwa umetulia ndiyo unazitumia? unapokuwa umetulia hamna watu wanakuwa wamekuzunguka au unakuwa umejifungia mwenyewe!
Nakubali kukubaliana nawe DabyNadhani ungesema sio kigezo kimoja tu.
Ila ukubwa wa umri ni moja ya kigezo cha kuwa na familia. Ukiwa mwanamke wa umri wa miaka 40tunategemea kwa kiasi kikubwa uitwe mama wa watoto au mtoto.
Na bahati nzuri wengi wapo hivyo.
Huyu mkuu ni mbaguzi nadhani anafamilia kwahiyo anategemea mitandao ya kijamiiSisi tusio kwenye mahusiano wala hatuna familia haturuhusiwi kuchangia?