Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
- Thread starter
- #21
Kwa uelewa wangu offside huwa ni mchezaji wa mwisho kuzidi wachezaji wengine,ndio mara ya kwanza kuona assist anakuwa offside,au ni sheria mpyaOffside inaanza kuhesabika kwa yeyote ambae ameotea na ndio maana hata ukapokea mpira ukiwa umeotea na ukatoa pasi kwa mwingine ambae hajaotea na yeye akatoa assist bado itahesabika ni offside tu.
Offise ni kitendo cha mchezaji kuzidi kwa kiungo cha mwili except mkono tu, no matter katoa assist au kafunga kwa uelewa wangu mimi.
Nakaribisha ukosoaji kwa aneelewa tofauti na huu mtizamo wangu mimi.
Ito alikuwa offside ila Samatta hakuwa offside