Tujadili kesi ya Tundu VS TIGO: Nani analipa gharama za uwakili kwa kampuni hizi za kimataifa zinazosimamia kesi yake huko nje nchi..?

Tujadili kesi ya Tundu VS TIGO: Nani analipa gharama za uwakili kwa kampuni hizi za kimataifa zinazosimamia kesi yake huko nje nchi..?

Baada ya kuelezaea yote hayo toka hadharani na wewe ita waandishi wa habari na shika maiki useme "TUNA SERIKALI YA HOVYO NA RAISI WA HOVYO",kama hujajikuta UNUNIO UKIWA mifupa. Kama hauwezi kufanya hivyo basi nipo SAHIHI. Tumia akili utanielewa.
Hii serikali ni ya hovyo kwelikweli...

Safari hii huko Ununio mtaokotwa nyie, kenge mdhoofu kabisa wewe...

Unashabikia mauji badala ya kuyakataa? Mashetani wakubwa nyie...!!!
 
..kesi za madai kama hizo, mawakili huzitetea kwa MAKUBALIANO kwamba, mteja akishinda na atakapolipwa, asilimia fulani ya malipo hayo itakwenda kwa mawakili.

..kwa kifupi mawakili " hunusa " na kuona kama kesi ina MASHIKO ya kutosha na hivyo kuamua kuwekeza nguvu na rasilimali zao.
Yes ni kweli, kama kesi ya kina ay na mwana fa ,aliyoifanya msando
 
Hii serikali ni ya hovyo kwelikweli...

Safari hii huko Ununio mtaokotwa nyie, kenge mdhoofu kabisa wewe...

Unashabikia mauji badala ya kuyakataa? Mashetani wakubwa nyie...!!!
Mkuu punguza mihemuko, naongelea uhalisia sio kama shabiki wa Lissu. Nimekwambia ita Millard Ayo na media nyingine ukiwa hapa nchini, shika maiki sema tuna Raisi wa HOVYO na serikali ya HOVYO HOVYO, kama hauwezi basi nipo SAHIHI na wewe na Lissu wako mpo wrong. Brother hii ni Africa there's no guarantee of freedom after Speech. Nasisitiza, tumia akili utanielewa.
 
Kwa hiyo unapigilia msatari kuwa ni kweli serikali ndiyo ilipanga na kutekeleza mpango wa kutoa uhai wake. Uzuri huyo Rais wa hovyo aliyetoa amri ya Lissu kuuwawa ndiye kafa kibudu na yuko motoni sasa na Lissu anaendelea kuishi.
Hilo kwenye bold ink hakuna ajuaye rafiki. Hiyo ni siri yake Mungu mwenyewe aonaye ndani kabisa ya mioyo ya watu..

Inawezekana dakika ya mwisho ya lala salama alitubu na kusamehewa dhambi zake. Unakumbuka yule mwizi msalabani aliyeitwa Baraba aliyesulubiwa msalabani pamoja na Yesu Kristo? Palepale msalabani wakiwa wawili tu na Yesu alitubu na kusamehewa dhambi zake na kuokolewa. Yesu alimwambia "leo hii utakuwa nami peponi". Lakini binadamu waliomwona amesulubiwa, wao akili na mtazamo wao HUYO NI MWENYE DHAMBI SANA, ANAENDA MTONI...

Hata sisi kwa Magufuli hatujui walimalizana vipi na Mungu muumba wake kabla hajakata roho. Inawezekana alitubu...

Sisi tunachojua moja tu ni kuwa, kumbukumbu ya uongozi wake na maisha yake hapa duniani haikuwa nzuri, alikuwa Rais muuaji, mbinafsi aliyejali maslahi yake ya kisiasa tu, ambaye hakuwa na utu wala ubinadamu na ndiyo aliamuru mtu asiye na hatia Tundu Lissu auwawe kwa kupigwa risasi 37 na hata aliposhindwa kumuua, ili kuhakikisha anateseka milele alimfanya kilema, akai - traumatize familia yake, ndugu zake, chama chake na taifa lote la TZ na dunia nzima na kisha serikali/Bunge (mwajiri wake) kumtelekeza hospitalini akioewa matibabu na kumnyima haki zake zote za utumishi..?

Hii haikuwa sawa wala haki hata kidogo...!!

Jerusalem2006 upo na unaelewa haya?
 
Mkuu punguza mihemuko, naongelea uhalisia sio kama shabiki wa Lissu. Nimekwambia ita Millard Ayo na media nyingine ukiwa hapa nchini, shika maiki sema tuna Raisi wa HOVYO na serikali ya HOVYO HOVYO, kama hauwezi basi nipo SAHIHI na wewe na Lissu wako mpo wrong. Brother hii ni Africa there's no guarantee of freedom after Speech. Nasisitiza, tumia akili utanielewa.
Kichwa chako kiko sawa kweli au umekula bangi na gongo kidogo..?

Na kwa hiyo wewe na wenzako huko ndiyo wauaji kwa kuwa tu watu wanasema Serikali au Rais ni wa hovyo, au siyo ndugu Jerusalem2006 ?

By the way mtu akisema hii "Rais ni hovyo" au "serikali ni ya hovyo hovyo" anakuwa ametenda kosa kwa mujibu wa sheria ipi ndugu Jerusalem2006 hata astahili kufa..?

Mzee Ally Kibao alikosa nini hata mkamuua? Uko sawa kichwani kweli wewe...?

Sio kwamba wewe ndiye hasa mwenye "mihemuko" tu maana hata hujui unajadili nini na hata hujui serikali ni kitu gani, inapatikanaje na inafanyaje kazi..?
 
Lissu anavuna alichopanda, kwa mtu mwenye akili timamu ukiwa katika ardhi ya Africa tena mwanasiasa, hauwezi kuita waandishi wa habari tena mchana kweupe ukashika maiki na kusema "Tuna Raisi wa HOVYO na serikali ya HOVYO HOVYO, ukabaki salama. Serikali ni taasisi hata machawa wa Raisi hawawezi kukuacha salama. Hata Mange Kimambi anaropoka akiwa huko USA. Wenzake akina Sativa na Boni Yai wanapata joto la jiwe. Huwa nasema Lissu ana akili nyingi za darasani ila ukija kwenye elimu dunia ni ZERO. Hata hii kesi hawezi kushinda hata afanyeje. TIGO Sasa hivi inamilikiwa na Rostam Azizi. Kwa wanaomjua vizuri Rostam watanielewa ninachomaanisha. Hao akina Amsterdam kwa level ya Rostam ni kenge tu. Mkiweka mahaba na Lissu pembeni mtanielewa.
Kaoge kwanza,upake mafuta!
 
Kwanza sikiliza hii:
View attachment 3113067 Tundu Lissu anasema katika voice note hii;

"...Inabidi mawakili wakusanye ushahidi wote unaohitajika na kisha waandae hati ya mashitaka...."

".....Kwa kifupi ni kuwa, kuna kazi kubwa ya kati ya sasa na kufungua kesi....."

"......Kilicho muhimu ni kwamba, nimeshatoa instructions kwa wakili wangu Bob Amsterdam na mawakili wenzake. Na kama atahitaji mawakili wengine wa ziada kutoka Marekani, Uingereza, ulaya waendelee maana nimeshawapa hayo maagizo...."


Nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu Tundu Lissu na influence yake kitaifa na kimataifa:

1. Kwamba, bila shaka huyu jamaa (TL) ana ukwasi wa kutosha sana kiasi cha kumudu kulipia gharama za kesi hii katika mahakama za nje ya nchi (Ulaya & Marekani)...

2. Au, Je kuna mashirika ya msaada wa kisheria huko duniani au watu binafsi ambao wameamua ku - sympathize naye baada ya madhira yaliyompata mwaka 2017 ya kunusurika kifo cha risasi 37 kisha akatelekezwa hospitalini na mwajiri wake (Bunge/Serikali ya Tanzania), akanyimwa haki zake zote na hivyo hawa watu wamejitolea kumsadia kupata haki yake...?

3. Honestly, kama hii kesi itafunguliwa ktk mahakama za kimataifa huko nje ya nchi, basi naweza kuamini bila shaka yoyote kuwa huyu mtu si wa kawaida, ni wa kipekee sana....!

=============================================

Huyu wakili wa Tundu Lissu, Robert "Bob" Amsterdam ni nani hasa..?


Mr Robert "Bob" Ross Amsterdam (born January 1956) is a Canadian international lawyer of the law firm Amsterdam & Partners, with offices in Washington, D.C., and London.

Major cases he won

Some of his most well known cases were related to early work in Africa and Latin America. Amsterdam won international litigation on behalf of the Four Seasons Hotel and Resort Group in Venezuela. He also worked the well known Gutierrez case in Guatemala, which involved representing the victims of one of the country's largest alleged tax fraud and money laundering schemes. Amsterdam would go on to represent political prisoners such as Eligio Cedeño in Venezuela, African political leaders such as Nigeria's Nasir Ahmad el-Rufai, and democracy advocates such as Singapore's Dr. Chee Soon Juan.

Yukos case

In 2003, Amsterdam was retained by the Russian company Yukos-Group MENATEP to defend former CEO Mikhail Khodorkovsky.

In 2005, Khodorkovsky was sentenced to eight years in jail. On the night of the verdict, Amsterdam was accosted by plainclothes security agents in the middle of the night at his hotel room, who attempted to arrest him before he could call his colleagues in the media.[13] In the years since leaving Russia, Amsterdam engaged in a media campaign for the Yukos Group-MENATEP and Khodorkovsky cases.[14]

Thaksin Shinawatra

Further information: 2010 Thai political protests and 2010 Thai military crackdown

Robert Amsterdam was hired in May 2010 by former Thai Prime Minister Thaksin Shinawatra to serve as international lawyer and adviser to the defence counsel of the "Red Shirts," formal name the United Front for Democracy Against Dictatorship (UDD).

In 2010, Robert Amsterdam "urged the international community not to tolerate the government's violent crackdown on self-proclaimed peaceful protesters", and published a list of alleged human rights and international law violations committed during what he called the "Bangkok massacres".

During the 2013–14 Thai political crisis, Amsterdam delivered a speech to a massive Red Shirt rally in Bangkok. Former Democrat Party member and anti-government protest leader Suthep Thaugsuban criticized Amsterdam for it, to which Amsterdam responded naming Suthep as a Thai Taliban.

Kim Dotcom

He is now part of the legal team representing Kim Dotcom, the Internet entrepreneur in the Megaupload legal case.

Republic of Turkey

Robert Amsterdam and firm were involved in efforts to sue the Gülen movement as part of a wider effort by the Turkish government to suppress it..

Russia-Trump

According to Robert Amsterdam in an April 2017 article in The Independent, there was "no question" that the FBI and United States intelligence agencies had information about Russian entities that had financial relationships with Trump prior to the 2016 United States elections..

Serikali yetu SIKIVU pamoja na TIGO ndiyo watalipia gharama za hiyo kesi.
 
Lissu anavuna alichopanda, kwa mtu mwenye akili timamu ukiwa katika ardhi ya Africa tena mwanasiasa, hauwezi kuita waandishi wa habari tena mchana kweupe ukashika maiki na kusema "Tuna Raisi wa HOVYO na serikali ya HOVYO HOVYO, ukabaki salama. Serikali ni taasisi hata machawa wa Raisi hawawezi kukuacha salama. Hata Mange Kimambi anaropoka akiwa huko USA. Wenzake akina Sativa na Boni Yai wanapata joto la jiwe. Huwa nasema Lissu ana akili nyingi za darasani ila ukija kwenye elimu dunia ni ZERO. Hata hii kesi hawezi kushinda hata afanyeje. TIGO Sasa hivi inamilikiwa na Rostam Azizi. Kwa wanaomjua vizuri Rostam watanielewa ninachomaanisha. Hao akina Amsterdam kwa level ya Rostam ni kenge tu. Mkiweka mahaba na Lissu pembeni mtanielewa.
Bado anaishi, na fikra zake zinaisha.

Umewahi kujiuliza msimamo wangu kwenye maisha ni upi?

Una uwezo wa kusimamia unachokiamini ikibidi kuhatarisha maisha yako?
 
Kichwa chako kiko sawa kweli au umekula bangi na gongo kidogo..?

Na kwa hiyo wewe na wenzako huko ndiyo wauaji kwa kuwa tu watu wanasema Serikali au Rais ni wa hovyo, au siyo ndugu Jerusalem2006 ?

By the way mtu akisema hii "Rais ni hovyo" au "serikali ni ya hovyo hovyo" anakuwa ametenda kosa kwa mujibu wa sheria ipi ndugu Jerusalem2006 hata astahili kufa..?

Mzee Ally Kibao alikosa nini hata mkamuua? Uko sawa kichwani kweli wewe...?

Sio kwamba wewe ndiye hasa mwenye "mihemuko" tu maana hata hujui unajadili nini na hata hujui serikali ni kitu gani, inapatikanaje na inafanyaje kazi..?
Punguani hawatakisekana duniani hadi kiama sawa na maskini!
 
Kwa upande fulani naweza nisiwe najua, Yes. Ndio maana mjadala uko mezani, tujadiliane...

Hii ndiyo hoja sasa...

Kwamba, wanaweza kuwa wanatumia huduma ya kisheria bure kwa sasa kwa kuwa wanajua kesi hii Tundu Lissu atashinda na kulipwa mamilioni ya dola na wao kupata malipo yao...

This makes big sense...

Nakubaliana na wewe..
Pamoja mkuu.
 
Bado anaishi, na fikra zake zinaisha.

Umewahi kujiuliza msimamo wangu kwenye maisha ni upi?

Una uwezo wa kusimamia unachokiamini ikibidi kuhatarisha maisha yako?
Mkuu bila kupepesa macho jibu langu lipo clear, siwezi Fanya lolote kuhatarisha maisha yangu, utasema sina misimamo etc, ila naamini kwenye kupambana kubaki hai Duniani. Siamini kwenye kufa kishujaa, hata ningeingia jeshini nikawa vitani, mapambano yakizidi tukazidiwa nalala chini najipaka damu ilimradi nibaki hai. Hayo mengine baki nayo wewe, Mimi naamini maisha ni hayahaya, Sasa Lissu anaongeaga kufurahisha watu matokeo yake inawezekana hawezi ku.tomba tena sababu ya risasi, Sasa raia unaowapigania wamekusaidia nini!?,, nikisema ana akili za darasani ila za Duniani hana nakosea!?!?,. Umewahi kumuona Mbowe anakashifu mamlaka extremely!?..
 
Mkuu bila kupepesa macho jibu langu lipo clear, siwezi Fanya lolote kuhatarisha maisha yangu, utasema sina misimamo etc, ila naamini kwenye kupambana kubaki hai Duniani. Siamini kwenye kufa kishujaa, hata ningeingia jeshini nikawa vitani, mapambano yakizidi tukazidiwa nalala chini najipaka damu ilimradi nibaki hai. Hayo mengine baki nayo wewe, Mimi naamini maisha ni hayahaya, Sasa Lissu anaongeaga kufurahisha watu matokeo yake inawezekana hawezi ku.tomba tena sababu ya risasi, Sasa raia unaowapigania wamekusaidia nini!?,, nikisema ana akili za darasani ila za Duniani hana nakosea!?!?,. Umewahi kumuona Mbowe anakashifu mamlaka extremely!?..
Yaani kukomaa kote huko unaongelea akili za duniani mara elimu dunia, kumbe akili yako inaishia kwenye kutomba tu! Kazi kwelikweli!

Hii dunia ingejaa watu wa aina yako, hadi leo tungekuwa na ustaarabu wa zama za kale za mawe. Wewe ni aibu ya taifa.
 
Yaani kukomaa kote huko unaongelea akili za duniani mara elimu dunia, kumbe akili yako inaishia kwenye kutomba tu! Kazi kwelikweli!

Hii dunia ingejaa watu wa aina yako, hadi leo tungekuwa na ustaarabu wa zama za kale za mawe. Wewe ni aibu ya taifa.
Nimeweka wazi, mengine baki nayo wewe. Sijaja Duniani kupigania haki. Ukitulia vizuri utanielewa, ukijaza siasa Duniani hauwezi kunielewa.
 
Lissu anavuna alichopanda, kwa mtu mwenye akili timamu ukiwa katika ardhi ya Africa tena mwanasiasa, hauwezi kuita waandishi wa habari tena mchana kweupe ukashika maiki na kusema "Tuna Raisi wa HOVYO na serikali ya HOVYO HOVYO, ukabaki salama. Serikali ni taasisi hata machawa wa Raisi hawawezi kukuacha salama. Hata Mange Kimambi anaropoka akiwa huko USA. Wenzake akina Sativa na Boni Yai wanapata joto la jiwe. Huwa nasema Lissu ana akili nyingi za darasani ila ukija kwenye elimu dunia ni ZERO. Hata hii kesi hawezi kushinda hata afanyeje. TIGO Sasa hivi inamilikiwa na Rostam Azizi. Kwa wanaomjua vizuri Rostam watanielewa ninachomaanisha. Hao akina Amsterdam kwa level ya Rostam ni kenge tu. Mkiweka mahaba na Lissu pembeni mtanielewa.
Luka 13:31-32
31 Saa ile ile Mafarisayo kadha wa kadha walimwendea, wakamwambia, Toka hapa, uende mahali pengine, kwa sababu Herode anataka kukuua.

32 Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika.
 
Kwanza sikiliza hii:
View attachment 3113067 Tundu Lissu anasema katika voice note hii;

"...Inabidi mawakili wakusanye ushahidi wote unaohitajika na kisha waandae hati ya mashitaka...."

".....Kwa kifupi ni kuwa, kuna kazi kubwa ya kati ya sasa na kufungua kesi....."

"......Kilicho muhimu ni kwamba, nimeshatoa instructions kwa wakili wangu Bob Amsterdam na mawakili wenzake. Na kama atahitaji mawakili wengine wa ziada kutoka Marekani, Uingereza, ulaya waendelee maana nimeshawapa hayo maagizo...."


Nimejiuliza maswali kadhaa kuhusu Tundu Lissu na influence yake kitaifa na kimataifa:

1. Kwamba, bila shaka huyu jamaa (TL) ana ukwasi wa kutosha sana kiasi cha kumudu kulipia gharama za kesi hii katika mahakama za nje ya nchi (Ulaya & Marekani)...

2. Au, Je kuna mashirika ya msaada wa kisheria huko duniani au watu binafsi ambao wameamua ku - sympathize naye baada ya madhira yaliyompata mwaka 2017 ya kunusurika kifo cha risasi 37 kisha akatelekezwa hospitalini na mwajiri wake (Bunge/Serikali ya Tanzania), akanyimwa haki zake zote na hivyo hawa watu wamejitolea kumsadia kupata haki yake...?

3. Honestly, kama hii kesi itafunguliwa ktk mahakama za kimataifa huko nje ya nchi, basi naweza kuamini bila shaka yoyote kuwa huyu mtu si wa kawaida, ni wa kipekee sana....!

=============================================

Huyu wakili wa Tundu Lissu, Robert "Bob" Amsterdam ni nani hasa..?


Mr Robert "Bob" Ross Amsterdam (born January 1956) is a Canadian international lawyer of the law firm Amsterdam & Partners, with offices in Washington, D.C., and London.

Major cases he won

Some of his most well known cases were related to early work in Africa and Latin America. Amsterdam won international litigation on behalf of the Four Seasons Hotel and Resort Group in Venezuela. He also worked the well known Gutierrez case in Guatemala, which involved representing the victims of one of the country's largest alleged tax fraud and money laundering schemes. Amsterdam would go on to represent political prisoners such as Eligio Cedeño in Venezuela, African political leaders such as Nigeria's Nasir Ahmad el-Rufai, and democracy advocates such as Singapore's Dr. Chee Soon Juan.

Yukos case

In 2003, Amsterdam was retained by the Russian company Yukos-Group MENATEP to defend former CEO Mikhail Khodorkovsky.

In 2005, Khodorkovsky was sentenced to eight years in jail. On the night of the verdict, Amsterdam was accosted by plainclothes security agents in the middle of the night at his hotel room, who attempted to arrest him before he could call his colleagues in the media.[13] In the years since leaving Russia, Amsterdam engaged in a media campaign for the Yukos Group-MENATEP and Khodorkovsky cases.[14]

Thaksin Shinawatra

Further information: 2010 Thai political protests and 2010 Thai military crackdown

Robert Amsterdam was hired in May 2010 by former Thai Prime Minister Thaksin Shinawatra to serve as international lawyer and adviser to the defence counsel of the "Red Shirts," formal name the United Front for Democracy Against Dictatorship (UDD).

In 2010, Robert Amsterdam "urged the international community not to tolerate the government's violent crackdown on self-proclaimed peaceful protesters", and published a list of alleged human rights and international law violations committed during what he called the "Bangkok massacres".

During the 2013–14 Thai political crisis, Amsterdam delivered a speech to a massive Red Shirt rally in Bangkok. Former Democrat Party member and anti-government protest leader Suthep Thaugsuban criticized Amsterdam for it, to which Amsterdam responded naming Suthep as a Thai Taliban.

Kim Dotcom

He is now part of the legal team representing Kim Dotcom, the Internet entrepreneur in the Megaupload legal case.

Republic of Turkey

Robert Amsterdam and firm were involved in efforts to sue the Gülen movement as part of a wider effort by the Turkish government to suppress it..

Russia-Trump

According to Robert Amsterdam in an April 2017 article in The Independent, there was "no question" that the FBI and United States intelligence agencies had information about Russian entities that had financial relationships with Trump prior to the 2016 United States elections..
Kuna uwezekano mkubwa Pdidy analipa au wa sampuli ya Pdidy anaewalea wanawe huko nje.
. Si waliberali wote hao?

. Upo coco beach unauliza baharini wapi?
 
Lissu anavuna alichopanda, kwa mtu mwenye akili timamu ukiwa katika ardhi ya Africa tena mwanasiasa, hauwezi kuita waandishi wa habari tena mchana kweupe ukashika maiki na kusema "Tuna Raisi wa HOVYO na serikali ya HOVYO HOVYO, ukabaki salama. Serikali ni taasisi hata machawa wa Raisi hawawezi kukuacha salama. Hata Mange Kimambi anaropoka akiwa huko USA. Wenzake akina Sativa na Boni Yai wanapata joto la jiwe. Huwa nasema Lissu ana akili nyingi za darasani ila ukija kwenye elimu dunia ni ZERO. Hata hii kesi hawezi kushinda hata afanyeje. TIGO Sasa hivi inamilikiwa na Rostam Azizi. Kwa wanaomjua vizuri Rostam watanielewa ninachomaanisha. Hao akina Amsterdam kwa level ya Rostam ni kenge tu. Mkiweka mahaba na Lissu pembeni mtanielewa.
Punguza kahawa mkuu za kwa ma shoe shine
 
..kwanza, mawakili watapima kama kesi ina mashiko.

..pili, malipo ya mawakili yatatokana na jinsi watakavyoweza kuwakamua wadaiwa ktk kesi ya Tundu Lissu, ambao ni Tigo.

..wakiwakamu Tigo vilivyo, kuna fungu litakwenda kwa mawakili, na lingine kwa Tundu Lissu.
 
Kuna uwezekano mkubwa Pdidy analipa au wa sampuli ya Pdidy anaewalea wanawe huko nje.
. Si waliberali wote hao?

. Upo coco beach unauliza baharini wapi?

..mwenyekiti wa chama kikubwa ndio tumeambiwa anatabia hizo kwa wanawake.
 
..kesi za madai kama hizo, mawakili huzitetea kwa MAKUBALIANO kwamba, mteja akishinda na atakapolipwa, asilimia fulani ya malipo hayo itakwenda kwa mawakili.

..kwa kifupi mawakili " hunusa " na kuona kama kesi ina MASHIKO ya kutosha na hivyo kuamua kuwekeza nguvu na rasilimali zao.
Nadhani case closed umeshamjibu
 
Back
Top Bottom