Tujadili Kiukweli (Wanaume tu)


Watanzania mnazidi kuwa wapumbavu. na kama hakujali kiasi hicho hakufai. hakuna jinsi tutakuwa endelevu kwa tamaduni hizi ngeni kwetu. kumbukeni kwamba tamaduni zetu wote waafrika zinatupa umuhimu wa Mwanamk
 
Pole sana kaka ila nasi wadada tukiolewa tunajisahau sana agrrrrrrrrr

Pole sana..

inaelekea ni mchakato unavyokuwa.Kama akina dada wanabadilika sana kuhusu utumwa wa kazi za nyumbani, umesahau akina kaka wanavyobadilika sana kuhusu saa za kurudi nyumbani, kuwatoa wake zao outing, kuwakirimu kwa zawadi na mambo mengine? Ndio maana mabosi kazini huko wanawachangamkia!
 
Ni upungufu wa heshima tu, huwez mwanamke upo home tuu bado nguo za mumeo ,bafu ama chumba chako anasafisha housegirl. Wanawake tupende majukumu yetu la sivyo tutakuwa wa kuzungumzwa vibaya kila siku humu na kulea wake wenzetu ndani
 
Ndugu......

Usilogwe ukachakachua beiki tatu asisee.... acha kabisa kufikiria hiyo mambo
 
:clap2:
pole bro.mkeo anapaswa kuacha uvivu wa kijiga. msaidie kufahamu anawajibu wa kutekeleza ili kutunza ndoa yake

kaka nakupa hongera kwa ushauri wako ni kweli shemeji anapaswa kujua kazi zake muhimu kama mke na zile ambazo msichana wa kazi anapaswa kufanya ni si zote hata za sirini kufanywa na huyo binti. Pia sishabikii mawazo ya wale wanaume wenzangu ambao mawazo yao haraka sana yanakimbilia kudo na hao mabinti sababu ukiruhusu fikra ya kufanya hivyo tayari umeshaharibu mtiririko mzima wa mustakabali wa nyumba yako.
 
duuh hili ni tatizo.. ila njia unayotaka kuitumia sio kabisa
 
Duuh! maisha ni hayahaya. Pole sana ! kama hayo uliyo yaeleza ni ya kweli, upo sahihi, Lakini ningepata na mawazo ya mkewo ningeweza kuwa na uwanja mkubwa wa kujadili hoja yako. si hivyo tu, hicho ni kipimo cha UTU wako. Huyo binti angekuwa mwanao ingekuwaje? mpe shule mkeo. FIKIRI KABLA YA KUTENDA, CHUKUWA HATUA ZA KUIJENGA NDOWA.:flame:
 

kaka za leo, mimi ni mara chache sana kusoma hizi mada za mapenzi, na nimeona wengi wanakupa ushauri ambao hauikidhi haja na ndo maana wengi wamekimbilia kukwambia kuwa tayari roho ya kutaka ku M-do inakunyemelea. Mimi naamini na niwakumbushe hao, ungekuwa na roho ya ku m-do wala usingeleta hii mada ung m-do kimya kimya.

Kaka jinsi ya kukwepa hilo tatizo ni rahisi sana, wewe mpige mkwara huyo house girl, kila akifanya kazi zinazoashilia kukutega hasa kuingia chumbani mwako piga mkwara hasa, mkataze asifue nguo zako kama unaweza, ila kama mkeo mbabe utazifua mwenyewe. Hafu nguo za ndani za kwako UFUE mwenyewe na mke wako afue za kwake.
Weka ka utaratibu HG ajue mipaka yake,kuruhusu BEKI 3 kuingia chumbani ni sumu.Unajua kuna baadhi ya matatizo Wanaume huyasababisha wenyewe, tangu lini nguo yako ya ndani ukubali ifuliwe na Mercury (HG) au mkeo, fua mwenyewe mara tu unapoenda kuoga kuondoa baadhi ya matatizo.

Hata nguo zako ikibidi fua mwenyewe, acha Umangi meza, Mbona wazungu wanaume wanafua wenyewe, utasema kwao kuna mashine si wote wenye mashine na wakija africa wanafua wenyewe.

La tatu, uchunguzi niliokwisha uona, wanawake huwa wanalegea miili yao haraka kadri wanavyokuwa, hivyo hupelekea kuwa wavivu kwa namna fulani, kwa hiyo lazima ujue hilo na usihusianishe na uvivu wa kujitakia.

Pia kama amesoma, wengi hupenda sana kutumikisha HG, cha msingi weka mipaka kwa kuwa mambo ya ndoa hayaangalii Elimu, majukumu yako pale pale. Usijaribu kumwambia mkeo kuwa kwa kazi anazofanya HG na ukarimu wake anakutega, utaharibu- We kuwa mkali kwa HG hadi awe anakuogopa.

La mwisho kabisa, HG huwa wanakuja wakiwa wanyonge, wakishafika kwa kuwa huwa hawafikilii maisha na kila kitu kipo wanapendeza kweli kweli, zipo hadithi nyingi tena za kweli watu kibao wame wa-do. USIJARIBU Ku DO Mercury UTAVUNJA NDOA na UTAPATA AIBU MTAANI-HUTAAMINIKA TEANA.
Kukabiliana na hayo Uwe unampiga mkwara HG manake kumpiga mkwara mkeo hutaweza, ukimpiga mkwara mkeo, badaye mkitulia mkiwa kwenye bed kwisha habari, UNASAHAU na anaweza akukunyima kabisa, siku nzima hutafanya kazi vizuri.

Nawasilisha.
 

Nguo za ndani huwa nafua mwenyewe though huwa napenda kuziloweka then nikirudi jioni ukifua huwa zinakuwa ni safi barabara!!

Siku hiyo ile narudi, nakuta beki tatu chumbani kwenye master ambayo mimi binafsi nilijua hakuna anayeingia zaidi ya mke wangu, na wakati mwingine huwa nakuta zimefuliwa nikawa najua ni mwenzangu ndiyo katoa msaada!!! Bahati mbaya nikakuta kumbe beki tatuu!!!
 

POLE SANA!!!!!
Binadamu wa aina hiyo ni ngumu kubadilika haraka wala kwa siku moja na huenda hawabadiliki kabisa!! kwa sababu kulingana na maelezo yako ni kwamba:- hayo unayoyaona kero yeye anaona ni jambo la kawaida yaani si tatizo. Cha kufanya anza kumfundisha kwa vitenda. Mfano:- Angalia anapenda/hapendi sana kitu gani [isipokuwa mapenzi nje ya ndoa] halafu fanya kinyume chake. akikasirika na kufoka usimjibu wala kumsuta papo hapo. muombe tu samahani halafu hasira zikimuisha mwambie ulolifanya ni kwa kudhamiria ili kumuonyesha hisia zako kwa hayo mambo usiyoyapenda. naamini yataanza kumuingia akilini! tambua itamchukua muda kuelewa na kubadilika hasa kama alilelewa na akina Ananilea Nkya
 
Labda akienda kazini anakuwa busy sana, kwa hiyo akirudi home anakuwa ameshachoka. Kwani lazima jamani akufanyie kila kitu?

Ila tu kumwingiza housegirl chumbani hapo kazidi. Ongea naye tu usichoke uwe wimbo, atajrekebisha. Pia huo uvivu pengine kwao alikuwa hafanyi chochote, yeye ni kusoma tu na kula, kila kitu anafanyiwa.
Mvumilie tu, after all miaka mitatu ni michache sana mwambie hiyo tabia huipendi, kama anakupenda na ana nia ya kujenga mmji anaweza kujirekebisha kiasi fulani
 

hata kumpokea mumeo house girl kwasababu ameajiriwa? think on it roselyn
 

kijana juzi kaa na mkeo myazungumze hayo, hamwezi kushindwana! kama ulimtongoza akakubali na ikamwoa hawezi kushindwa kukuelewa kwa hayo. MKEMEE shetani anayetaka kukuonesha kuwa house girl wako anakarribia kumfikia mkeo kimajukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…