Tujadili Korosho

Tujadili Korosho

goukun wadey

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2020
Posts
241
Reaction score
284
Natamani ufunguliwe mjadala wa korosho, yajadiliwe yafatayo! Maandalizi ya shamba, mavuno na mauzo (soko). Kwa kuanzia najua kwamba haijawahi kutokea pasiwe na malalamiko yanayohusu zo la Korosho kwa kila mwaka, iwe kwenye maandalizi ya shamba, mavuno hata mauzo. Nini tatizo hali ya kwamba hili ni zao linaloipatia taifa pesa nyingi kuliko zao lolote hapa Tz kwa sasa.
 
Unataka akufungulie nani huo mjadala? JamiiForums ni ya wanajamii na wewe ni Miongoni mwa hao. Jamiiana na wenzako walioko humu kwa masilahi yako, jamii yako na taifa lako. Karibu kiongozi.
 
Zao lenye mkanganyiko sana..wakulima wanalalamika ila kila kukicha wanapanda mikorosho mipya
 
Back
Top Bottom