Tujadili: Kuuliza bei kila muda

Tujadili: Kuuliza bei kila muda

Kuna mtu anakuja anaulizia bei na hanunui ukwel ulivyosema kuwa huyo ambaye hanunui ndo WA kuwa nae kalibu sababu ya kutengeneza mnyororo mwingne WA watej,, wafanya biashala weng wamekalili wateja wao ila kutengeneza namna nyingne ya kupata watej Kwa wingi wanashindwa
Wengi saikolojia ya biashara hawana
 
Habari zenu,

Kuna hili suala nataka tujadili. Kuna hii hali ya wateja wanaokuja kwako mara kwa mara kununua bidhaa lakini kila wakija lazima waulizie bei.

Je, hii ni sahihi?
Bandika bei halafu uone kama watauliza. Lakini shida ya ngozi nyeusi anadhania wewe mteja utahifadhi bei za vitu vyote kwenye maduka yote unayopita wakati wa shopping.

Mbona kwenye supermarkets huwa hatuulizi ovyo ovyo?
 
Kama ulimjibu mwanz ndo umemkosa hvyo Tena,, ko kama jamaa alivyosema hapo Kuna wateja WA Leo na Kuna wateja WA kesho,
Pia mbaya kumjaji mteja kwa muonekano wake yaan mavazi au gari hizi ni hobbies tu wengine wanapesa mda wa kuvaa au hobbies za magari hana.
Wanaulizia Bei wanakutana na vidada vidangaji haviwapi ushirikiano wakiamini Sio wanunuaji ubaki mdomo wazi mtu ananunua nusu ya vitu vyote wanabakia n mshangao
 
Mtu kauliza kilogramu 1 ya dagaa shingapi⁉️ anaambiwa elfu kumi.
Anauliza nusu kilo shingapi⁉️😇😂😂😂
 
Mtu kauliza kilogramu 1 ya dagaa shingapi[emoji3480] anaambiwa elfu kumi.
Anauliza nusu kilo shingapi[emoji3480][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23]
Life a made to be complicated we nenda nae tu hivyo hivyo

Wewe unasema huyo vp wale anakupa oda unamsotia mzigo alafu anabadili maamuz

Vp wale mabush lawyer??
 
1) Getting insights of price changes
2) Comparing prices with other places

Customer is a king, cooperate.
 
Back
Top Bottom