SILLENT KILLER 2
Member
- Jun 12, 2024
- 28
- 38
Wakuu salam za hap jukwaani.
Leo kuna kitu nilikuwa nafikiria sana.kama hapo title inavyosema.hivi kweli mwanadamu anatokana na nyani yani kwaakili ya kawaida tu unaweza kujiambia mwenyewe mm nimetokana na nyani hv kweli kabsa? Yani na wizara kabisa inapitisha hzo ni mada mwanafunzi anatakiwa ajifunze ama kweli viongozi watz akili bdo sana.
Au kwasababu tunatakiwa kukizi matakwa ya hawa jamaa ili ndo tupate misaada au.yan kitabu kinasema apes change from creatures to the morden man na sisi tunakubali.sema ndy hv ila kama watu/wizara inagundua hili kuna mada mashuleni zinatakiwa zisifundishwe kabsa kama hyo ya evolution of man na nyingne ip form four biology kuhusu mambo haya ya more will use become strong.
wakuu mnaeza saidia hii topic.naomba moderator usifute huu uzi
Leo kuna kitu nilikuwa nafikiria sana.kama hapo title inavyosema.hivi kweli mwanadamu anatokana na nyani yani kwaakili ya kawaida tu unaweza kujiambia mwenyewe mm nimetokana na nyani hv kweli kabsa? Yani na wizara kabisa inapitisha hzo ni mada mwanafunzi anatakiwa ajifunze ama kweli viongozi watz akili bdo sana.
Au kwasababu tunatakiwa kukizi matakwa ya hawa jamaa ili ndo tupate misaada au.yan kitabu kinasema apes change from creatures to the morden man na sisi tunakubali.sema ndy hv ila kama watu/wizara inagundua hili kuna mada mashuleni zinatakiwa zisifundishwe kabsa kama hyo ya evolution of man na nyingne ip form four biology kuhusu mambo haya ya more will use become strong.
wakuu mnaeza saidia hii topic.naomba moderator usifute huu uzi