Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Umetafsiri kiswahili kabisaaa,Agriculture industry haina maana kama ulivyotafsiri!Mkuu hata kilimo kimo ndani ya viwanda, Agriculture Industry.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetafsiri kiswahili kabisaaa,Agriculture industry haina maana kama ulivyotafsiri!Mkuu hata kilimo kimo ndani ya viwanda, Agriculture Industry.
Wapinzani si ndio tumewachelewesha,haya pambaneni kutuwahisha!Mkuu Sisi sote ni waTanzania, tuweke vyama pembeni tupige kazi sasa.
Tukalime kila mtu, kuliko cha subsistence.kwa hiyo wewe maoni yako ni yepi mkuu
Mkuu Sisi sote ni waTanzania, tuweke vyama pembeni tupige kazi sasa.
Mkuu uko Tanzania au nje ya hii hii Tanzania? Hiyo awamu ya sita umeitoa wapi?zinazo fanywa na serikali yetu ya awamu ya tano na sita katika kutoa motisha kwa watanzania kujenga
Yeah ni kweli mkuu, lakini unapo izungumzia sera ya viwanda, mimi nadhani hata hiyo Agriculture imo ndani yake humo humo. Ijapo Agriculture industry ni neno pana kidogo likiwa na maana ya tasnia ya kilimo au sekta ya ya kilimo kwa kiswahili. Lakini inabidi uelewe hivyo hivyo.Umetafsiri kiswahili kabisaaa,Agriculture industry haina maana kama ulivyotafsiri!
Umetafsiri kiswahili kabisaaa,Agriculture industry haina maana kama ulivyotafsiri!
Peleka upuuzi huko. Viwanda vipya 6000 vimeishia wapi? Hujui hata unazungumza nini wewe pimbi.Habari za leo wakuu,
Uzii huu utakuwa maalum kuijadili sera yetu ya viwanda.
Bila kutukana wala kumnyoshea mtu yeyote kidole, naomba kila mmoja atoe maoni yake.
Mada: Wewe unahisi sera yetu ya viwanda ina mapungufu gani?
Zingatia ili taifa letu liweze kuendelea linahitaji kuwa na sera bora ya viwanda. Sera bora ya viwanda inatakiwa kutoa dira ya maendeleo ya uchumi wa taifa.
Zingatia muda mwingine sera inaweza kuchukua mda mrefu kuleta matokeo chanya.
Sote tumeona jitihada zinazo fanywa na serikali yetu ya awamu ya tano na sita katika kutoa motisha kwa watanzania kujenga na kuanzisha viwanda.
Lakini pia tumeona jinsi ambavyo serikali imetumia jitihada kufufua taasisi za umma. Serikali imefufua ATCL, TTCL, n. k.
Zingatia mfumo wowote wa biashara ya kiuchumi hauwezi kufanya kazi vizuri bila serikali kuingilia. Hivyo ni lazima serikali nayo iingie kwenye mfumo huo ili kazi iende vizuri. Ndio sababu mnaona kwenye usafiri wa anga mnaiona serikali kupitia ATCL, kwenye mawasiliano mnaiona serikali kupitia TTCL, n.k.
Serikali ikiwa karibu na mfumo wa kiuchumi ni rahisi kupata taarifa zinazo husu mzunguko mzima wa kiuchumi, kasoro na matatizo mbalimbali. Mimi nadhani pia kuiachia sekta binafsi iendeshe mfumo mzima wa uchumi peke yake sio vizuri na swala hili lina athari kiuchumi.
Nikija kwenye swala la mchakato mzima wa sera yetu ya viwanda. Sera yetu ni nzuri sana na itatuletea faida nyingi sana huko mbeleni. Ila nilikua napenda ili sera yetu ifanikiwe asilimia 100 hasa kwenye swala la ujenzi wa viwanda, nadhani ingechagua baadhi ya viwanda vile ambavyo tunaona tunaweza kuviendesha vizuri na vikatatuletea faida nyingi kama vile utoaji wa ajira nyingi, mapato mengi na bidhaa nyingi.
Nilikua nasoma jarida moja jinsi ambavyo china wanapigana kukuza uchumi wao, wao katika sera yao ya viwanda wamechagua utengenezaji wa magari ya umeme. Hivyo nguvu yao yote wameilekeza kwenye uwekezaji wa viwanda vya magari ya umeme, utafiti na ubunifu katika viwanda vya magari ya umeme.
Naomba niishie hapa.
Hivyo ndugu yangu kama una maoni dondosha maoni yako
Usitukane.
Habari za leo wakuu,
Uzii huu utakuwa maalum kuijadili sera yetu ya viwanda.
Bila kutukana wala kumnyoshea mtu yeyote kidole, naomba kila mmoja atoe maoni yake.
Mada: Wewe unahisi sera yetu ya viwanda ina mapungufu gani?
Zingatia ili taifa letu liweze kuendelea linahitaji kuwa na sera bora ya viwanda. Sera bora ya viwanda inatakiwa kutoa dira ya maendeleo ya uchumi wa taifa.
Zingatia muda mwingine sera inaweza kuchukua mda mrefu kuleta matokeo chanya.
Sote tumeona jitihada zinazo fanywa na serikali yetu ya awamu ya tano na sita katika kutoa motisha kwa watanzania kujenga na kuanzisha viwanda.
Lakini pia tumeona jinsi ambavyo serikali imetumia jitihada kufufua taasisi za umma. Serikali imefufua ATCL, TTCL, n. k.
Zingatia mfumo wowote wa biashara ya kiuchumi hauwezi kufanya kazi vizuri bila serikali kuingilia. Hivyo ni lazima serikali nayo iingie kwenye mfumo huo ili kazi iende vizuri. Ndio sababu mnaona kwenye usafiri wa anga mnaiona serikali kupitia ATCL, kwenye mawasiliano mnaiona serikali kupitia TTCL, n.k.
Serikali ikiwa karibu na mfumo wa kiuchumi ni rahisi kupata taarifa zinazo husu mzunguko mzima wa kiuchumi, kasoro na matatizo mbalimbali. Mimi nadhani pia kuiachia sekta binafsi iendeshe mfumo mzima wa uchumi peke yake sio vizuri na swala hili lina athari kiuchumi.
Nikija kwenye swala la mchakato mzima wa sera yetu ya viwanda. Sera yetu ni nzuri sana na itatuletea faida nyingi sana huko mbeleni. Ila nilikua napenda ili sera yetu ifanikiwe asilimia 100 hasa kwenye swala la ujenzi wa viwanda, nadhani ingechagua baadhi ya viwanda vile ambavyo tunaona tunaweza kuviendesha vizuri na vikatatuletea faida nyingi kama vile utoaji wa ajira nyingi, mapato mengi na bidhaa nyingi.
Nilikua nasoma jarida moja jinsi ambavyo china wanapigana kukuza uchumi wao, wao katika sera yao ya viwanda wamechagua utengenezaji wa magari ya umeme. Hivyo nguvu yao yote wameilekeza kwenye uwekezaji wa viwanda vya magari ya umeme, utafiti na ubunifu katika viwanda vya magari ya umeme.
Naomba niishie hapa.
Hivyo ndugu yangu kama una maoni dondosha maoni yako
Usitukane.
Mkuu hata kilimo kimo ndani ya viwanda, Agriculture Industry.
Tatizo ni kiswahili kuwa na maneno machache ila nadhani umepata kuelewa kile nimekieleza pale mkuu. Unaweza kuelewa hivi mimi pale nazungumzia industrial policy ambayo imelenga kwenye establishment of production industries (factories) both small and large and revive of old industries (factories) like General tires e. t. c. bila kusahau lengo likiwa ni to create employments, ndio lengo kuu.Usichanganye tasnia na viwanda
Tunahitaji maoni chanya mkuu, matusi hayatatufikisha popote.Huyo kilaza hajui lolote, huyo ndio wale mabingwa wa kubeba mabox ya kura za wizi, ndio maana anakuja na hizo tafsiri za kiswahili. Hao ndio wale wazee wa job hundred(kazi kwelikweli)
Tunahitaji maoni chanya mkuu, matusi hayatatufikisha popote.