Wapwa,
Tujadili, matumizi ya teknohama yanazidi kukua kila siku, teknohama imekuwa nyenzo kubwa ya uhuru wa mawasiliano na habari. Najaribu kufikiria vipi kama Tanzania kwa kujali umuhimu wa teknolojia, tukaamua kutumia camera kwenye vituo vya kupigia kura, je itasaidia kuongeza uaminifu/transparency na kuzuia hujuma ndani ya vituo vya kupigia kura?
Zipo baadhi ya nchi ambazo zimewahi kutumia camera na ziliona mafanikio yake
Tujadili changamoto, faida na hasara za kutumia camera kwenye vituo vya kupigia kura. Je hili linawezekana kwa mazingira yetu ya Uchaguzi?
Karibuni wapwa.
Tujadili, matumizi ya teknohama yanazidi kukua kila siku, teknohama imekuwa nyenzo kubwa ya uhuru wa mawasiliano na habari. Najaribu kufikiria vipi kama Tanzania kwa kujali umuhimu wa teknolojia, tukaamua kutumia camera kwenye vituo vya kupigia kura, je itasaidia kuongeza uaminifu/transparency na kuzuia hujuma ndani ya vituo vya kupigia kura?
Zipo baadhi ya nchi ambazo zimewahi kutumia camera na ziliona mafanikio yake
- Urusi (2012)
- Ukraine (2012)
- Georgia
- Azerbaijan (2003, 2008, 2010)
- Sierra Leone
- Colombia
- Albania (2009)
Tujadili changamoto, faida na hasara za kutumia camera kwenye vituo vya kupigia kura. Je hili linawezekana kwa mazingira yetu ya Uchaguzi?
Karibuni wapwa.