Tujadili: Mbinu rahisi za kuzifunga team zinachocheza pasi nyingi

Tujadili: Mbinu rahisi za kuzifunga team zinachocheza pasi nyingi

Timu zinazoupiga mwingi dawa yake ni kuhakikisha timu yako inakuwa na speed uwanjani katika kukaba na kushambulia kuzidi hiyo timu.

3-5-2 ni mfumo mzuri sana na hasa ukiwa na viungo washambuliaji wenye uwezo wa kukaba pia.

Hivyo vitimu kuvifunga kirahisi ni kuvibabatiza kwa pasi shoot kutokea pembeni au nje ya box.

Hakikisha hamfanyi madhambi karibu na goli lenu au na dhibitini mipira ya kona maana hivi vitimu mara nyingi vinakuwa na wachezaji ambao wakishindwa kupenya wanatafuta mipira iliyokufa na mara nyingi wakipata wanawawasha.
 
Timu zinazoupiga mwingi dawa yake ni kuhakikisha timu yako inakuwa na speed uwanjani katika kukaba na kushambulia kuzidi hiyo timu.
3-5-2 ni mfumo mzuri sana na hasa ukiwa na viungo washambuliaji wenye uwezo wa kukaba pia.
Hivyo vitimu kuvifunga kirahisi ni kuvibabatiza kwa pasi shoot kutokea pembeni au nje ya box.
Hakikisha hamfanyi madhambi karibu na goli lenu au na dhibitini mipira ya kona maana hivi vitimu mara nyingi vinakuwa na wachezaji ambao wakishindwa kupenya wanatafuta mipira iliyokufa na mara nyingi wakipata wanawawasha.
hii ni gegenpressing bila shaka mkuu!
 
dawa ya timu zinazopiga hizi pasi nyingi ni kucheza 3-5-2 alafu unakuwa na fullbacks zinazopanda na kushuka kama presha..... na striker zako ziwe zinashuka ndani kidogo .......pia unaweza cheza tu 4-4-2 ukawa na viungo wawili wakazi....ukawa na winger yako ya kulia inateleza na ya kushoto nayo inateleza hadi sio vizuri ...utawaadhibu sana hizo timu za Kumiliki soka ukiwaletea winger za hatari unawafunga tu
Yeah lakini inabidi ujihadhari usiwe na wachezaji wanaokimbia sana kwenye suala la kukaba isipokuwa washambulia wako inabidi wawe active sana wakati wa kushambulia otherwise utafungwa sana
 
Kwa kawaida tuu soka ni mbinu. na mbinu zinazaliwa kila siku!

Sasa leo tujadili namna ya kudhibiti team inayomiliki mpira au pasi kwa wingi!
Tuanze na mfano wa Manchester City ya pep gurdiola.

Man city huwa Wanapenda kutumia mfumo wa 4-3-3 japo sio kila mara.
Huu mfumo unaruhusu team kumzunguka adui kama ilivyo shilingi hamsini! Kwa hiyo unajikuta unazungukwa kila pembe.

Sababu kipa anapomuanzishia mpira beki wa kati. Right/left back wanapanda katikati kidogo huku beki wa kati atampasia kiungo ambaye ameshuka chini kuchukua mpira!

Kwahiyo mfumo unageuka kuwa 3-4-3! (Kama nimekosea mtu anirekebishe )
So yule kiungo akiwa na mpira kiungo ya chini hapo atapiga pasi kwa wale mabeki wa pembeni ambao waliishia katikati na walikuwa wanasubiri mpira.

Mabeki wa pembeni wakiupata mpira mmoja wapo atasogeza mpira ili kuitia team pinzani presha..hapo anatoa fursa kwa viungo kufanya pressing na kusogea eneo la katikati

Kisha yule beki atarudisha katikati kwa kiungo wa juu, naye yule kiungo atapiga ule mpira kwa
Unaongelea PlayStation au kumfunga guadiora?
 
Mbona msimu huu hao wanaume hawakumfunga city?
inawezekana ni kweli
mfumo wanaotumia tot na liver ni mgumu na unachosha wachezaji haraka tofaut na pep!
so tot hajamfunga man city?
inakera sana mimi nimejikunjua kuandka hapa mtu badala ya kupinga kiufundi kama mimi we unaleta ishu ya pes!
shusha nondo na ww
 
inawezekana ni kweli
mfumo wanaotumia tot na liver ni mgumu na unachosha wachezaji haraka tofaut na pep!
so tot hajamfunga man city?
inakera sana mimi nimejikunjua kuandka hapa mtu badala ya kupinga kiufundi kama mimi we unaleta ishu ya pes!
shusha nondo na ww
Umeandika point ipi katika hizi taarabu?
 
Back
Top Bottom