Mfa maji. Always!!Kutangulia sio kufika lakini..Yanga 1 Simba 0 dakika ya 70, Tegete..naamini linarudi Msimbazi tulieni
T z confirmed we r going 4 extra 30 min. No golden goalz. Simba gets us underway...
Oktoba 31 ulisema hivyohivyo naona hukomi tu. Mechi ya leo itaisha kwa sare ya moja moja halafu itaenda kwenye matuta ambapo simba atashinda kwa penati nne kwa tatu. Kaseja atafuta mbili.
amefanya kosa gani??Haruna mosh 'boban' of simba is red carded. I dont know y?
What? Again? Yani kila mechi Simba lazima wapate kadi..why?? ila kama kawaida tutawachapa na watu kumi..bado dakika ngapi?Haruna mosh 'boban' of simba is red carded. I dont know y?