Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Sawa mkuu,NIPIGIE NIKUPE MINU YA KUPATA HIYO CERTIFICATE 0656392034
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu,NIPIGIE NIKUPE MINU YA KUPATA HIYO CERTIFICATE 0656392034
Tafadhali tembelea Makao Makuu Idara ya Huduma na Elimu kwa Mipakodi ili tatizo lako litatuliwe na tunaomba radhi kwa changamoto uliyokutana nayo.Nilienda MAPATO HOUSE pale kando ipo TRA HQ Ila pale MAPATO HOUSE nilipigwa dana dana cross dongo nenda huku nenda kule nenda huku nenda kule nikaamua kuondoka zangu sikuambulia chochote na cheti sikupata
Na hizo namba zote za huduma kwa wateja nilipiga nilichukua kwenye website yenu Ila hakuna aliepokea na kuna namba ya WhatsApp niliwatumia ujumbe sikujibiwa chochote, Instagram niliwaandikia DM sikujibiwa chochote niliandika kwenye page yenu ya Instagram sikujibiwa chochote up to now
Boresheni huduma zenu kwa wateja
Sawa Asante nashukuru, nikipigwa dana dana tena ntakuja kuwaambia hapa au nipeni namba zenu za huduma kwa wateja za uhakika zinazopokelewa maana hio uliyonipa ukipiga hakuna anaepokea inaita tu hadi inakataTafadhali tembelea Makao Makuu Idara ya Huduma na Elimu kwa Mipakodi ili tatizo lako litatuliwe na tunaomba radhi kwa changamoto uliyokutana nayo.