Tujadili mfumo wa TRA ulioboreshwa wa kuweka TIN katika manunuzi

Kwa tunaoanza biashara ule msamaha wa kodi kuanzia miez 6 mpaka mwaka mmoja umerudi so kaeni mkilijua hilo
 
Tafadhali tembelea Makao Makuu Idara ya Huduma na Elimu kwa Mipakodi ili tatizo lako litatuliwe na tunaomba radhi kwa changamoto uliyokutana nayo.
 
Tafadhali tembelea Makao Makuu Idara ya Huduma na Elimu kwa Mipakodi ili tatizo lako litatuliwe na tunaomba radhi kwa changamoto uliyokutana nayo.
Sawa Asante nashukuru, nikipigwa dana dana tena ntakuja kuwaambia hapa au nipeni namba zenu za huduma kwa wateja za uhakika zinazopokelewa maana hio uliyonipa ukipiga hakuna anaepokea inaita tu hadi inakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…