Kila Biashara inahitaji uvumilivu ili ili kuja kunufaika, Kwa sababu hata Makampuni kama SONY imewachua miaka mingi sana kujenga Brand name yao na kuja kufaidi matunda, na katika biashara mara nyingi mafanikio huja kuonekana baada hata ya 20 mpaka 30 years, achana na hizi sijui za M PESA, na kazalika ambazo hata zenyewe unapata tu pesa ya kula, kwa sababu huwezi panua biashara ya M PESA kuwazidi wenye Kampuni ambao ndo wamiliki wa Idea,
Kwenye real estate ni kweli inachukua miaka mingi sana na inategemeana wewe una miaka mingapi make unaweza kuta watoto wako ndo wakaja kufurahia hiyo investment yako na si wewe, kwa sababu Return zake ni za muda mrefu sana na that is why hata mikopo ya kujenga nyumba inarejeshwa kwa muda mrefu sana, na niliwahi semega kuna baadhi ya nchu kisheria huruhusiwi kujenga nyumba kwa pesa yako mwenyewe ni lazima uchukue mkopo,
Ila all in all inahitaj Capital kubwa sana, ya kuwekeza kwenye haya mambo na mara nyingi ni lazima tu uwe unachukua mikopo benki ili kujenga Nyumba kwa sababu ukisema utumie pesa yako ni vigumu sana, ndo maana unawaona wakina NSSF wanavyo tumia pesa zetu, kwa fujo ila zingekuwa ni zao wao wasingeweza, that is why hata NHC inawabidi some time wategeemee serikali iwape pesa za kujenga majumba ya kuuza au kukodisha
Ndo maana ukiwasikiliza hata NSSF hayo majumba wanayo jenga yataanza kuwalipa baadae sana na si leo