Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa mara ya kwanza tumebebwa na refa hata mda alio ongezwa aukuendena na mda manuala alio poteza, ila cha muhimu yume fuzu.Wakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Ni kweli, ila maumivu haya yasikie kwa jirani tu.mcheza kwao hutunzwa
Wachawi timu baada ya kushinda naona mnahahaWakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Kocha lazima atafukuzwa.wale jamaa mpira walioucheza dk za mwisho wangeanza nao wangetupiga
tumebebwa nilishangaa sana kile kitendoWakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Jamaa watakuwa wanalaani sana.tumebebwa nilishangaa sana kile kitendo
Kama dakika zimeisha hakuna cha kusubiri zaidi ya penati tu, pili haikuwa konaWakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Wewe ndio umekuja na mpya. Ile kweli haikuwa kona??Kama dakika zimeisha hakuna cha kusubiri zaidi ya penati tu, pili haikuwa kona
Wachawi wa kwetu, hoteli za kwetu, uwanja wa kwetu Rais wa kwetu, halafu tufungwe? Ingelikuwa ajabuWakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Dakika hazikutimia ?kMa zimetimia wala sio kesi!Wakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Ujinga huu unaoonesha hapa ni wa kiwango cha juuKwa mara ya kwanza tumebebwa na refa hata mda alio ongezwa aukuendena na mda manuala alio poteza, ila cha muhimu yume fuzu.
Kwa vile hujui mpira una haki ya kuandika hiviwale jamaa mpira walioucheza dk za mwisho wangeanza nao wangetupiga
Tumepasua paper kwa kupiga CHABO, hata lile goli Msuva aliotea.Wakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
sasa mjomba chadema inaingiaje hapo kama si wehu kuharibu uzi?Ni sahihi, chadema watasema haya matukio yanayofuatana yanawafanya wasisikike, mara King Kikii, mara Mafuru, mara stars... Waking tayari kumlaumu hata Mungu kwa kazi yake
Hii yako nayo mpya!!Tumepasua paper kwa kupiga CHABO, hata lile goli Msuva aliotea.