Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Tumepita tumefuzutumebebwa nilishangaa sana kile kitendo
Afrika kaskazini na Magharibi wanabebwa kinoma. Sasa ni zamu yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepita tumefuzutumebebwa nilishangaa sana kile kitendo
SgrUjinga huu unaoonesha hapa ni wa kiwango cha juu
Karudie video, haikuwa kona.Wewe ndio umekuja na mpya. Ile kweli haikuwa kona??
Ingekuwa ni Yanga au Simba, kelele za kubebwa zingekuwa nyingi.
Somo:.mashabiki siku zote huwa hatuko objective bali ni kutetea tu timu uliyo na mapenzi nayo.
Walionekana kucheza sana, kwa sababu Stars iliamua kuwaacha wao wacheze.wale jamaa mpira walioucheza dk za mwisho wangeanza nao wangetupiga
Yako ya zamani iko wapi Mzee?Hii yako nayo mpya!!
Watu hua hamuwi makini kuangalia mpira, ile haikua kona ilikua na mpira wa kurusha.Wewe ndio umekuja na mpya. Ile kweli haikuwa kona??
Ingekuwa ni Yanga au Simba, kelele za kubebwa zingekuwa nyingi.
Somo:.mashabiki siku zote huwa hatuko objective bali ni kutetea tu timu uliyo na mapenzi nayo.
Msuva alikuwa off side?!au sijaelewa..Hii yako nayo mpya!!
Sio kweli kabisa ...Tumepasua paper kwa kupiga CHABO, hata lile goli Msuva aliotea.
Kubebwa tumebebwa Ila Goli lilikuwa halali maana aliruka kutokea katikati ya mabeki, mmoja mbele mwingine nyuma.Tumepasua paper kwa kupiga CHABO, hata lile goli Msuva aliotea.
😂NICHUKUE NAFASI HII KUMPONGEZA DAKTARI SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUHAKIKISHA TAIFA STARS INAFUZU AFCON 2025...BILA MAMA SIJUI TEAM HII INGEKUA WAPI MAMA KAMA MAMA
Kweli unayo?Sio kweli kabisa ...
Kaka lile ni goli halali, Azam TV wamerudia mara nyingi Msuva hakuwa offside, jamaa aliruka akaukosa mpira ndo Msuva akasogea kidogo mbele na kufunga.Tumepasua paper kwa kupiga CHABO, hata lile goli Msuva aliotea.