BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kuanzia mwishoni mwa mwaka 2019 mpaka sasa hali yangu ya kiuchumi imeyumba kama kijana nipo katika harakati za kuhakikisha narudi kwenye hali nzuri ya kiuchumi tokea mwaka Jana nimekuwa mtu nisiyefocus sana kwenye muonekana kuanzia mavazi mpaka style ya kunyoa kwa hiyo mi na kioo tumekuwa tofauti kama kaskazini na kusini.
Recently nimekuwa nikipokea shikamoo nyingi Mara ya kwanza sikuchukulia personal kutokana na ukanda niliopo kusifika kwa heshima ila kadri siku zinavyoenda ndio nashtuka sababu hata wale ambao nina imani wananizidi umri wananipa shikamoo ndipo wazo la kujiangalia kwenye kioo likanijia nikapita kununua kioo cha buku nikaenda kutulia zangu Nyumbani nakujicheki.
Mpaka sasa siamini nilichokiona inshort nimeiona sura ya mzee mfanano wa Aliens Ila saa hivi nimetoka naelekea saluni kunyoa kwanza. Pamoja na mihangaiko Ila tujenge mazoea ya kujiangalia kwenye kioo maana kuna siku unaweza kuwahukumu wachawi kuwa wamekubadilisha sura kumbe uzembe wako wa kutojipenda na kujiangalia kwenye kioo.
Recently nimekuwa nikipokea shikamoo nyingi Mara ya kwanza sikuchukulia personal kutokana na ukanda niliopo kusifika kwa heshima ila kadri siku zinavyoenda ndio nashtuka sababu hata wale ambao nina imani wananizidi umri wananipa shikamoo ndipo wazo la kujiangalia kwenye kioo likanijia nikapita kununua kioo cha buku nikaenda kutulia zangu Nyumbani nakujicheki.
Mpaka sasa siamini nilichokiona inshort nimeiona sura ya mzee mfanano wa Aliens Ila saa hivi nimetoka naelekea saluni kunyoa kwanza. Pamoja na mihangaiko Ila tujenge mazoea ya kujiangalia kwenye kioo maana kuna siku unaweza kuwahukumu wachawi kuwa wamekubadilisha sura kumbe uzembe wako wa kutojipenda na kujiangalia kwenye kioo.