GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nikibahatika Kumpiga Mhindi (kwa Kubeti) katika Mechi niliyobeti (weka Mkeka) Yanga SC anafungwa 3 kwa 0 na Al Hilal FC Kesho Jumapili na kupata Millioni zangu 320 nataka nichangie Millioni Tano Tano kwa kila Shule niliyosoma kisha nitamrushia Tsh 600/= kila Jamiiforums Member ya Kununua Soda wanywe (mnywe) huko huko mliko.
Kuna Mijitu Ina Hela na Kazi nzuri na Kubwa lakini hata tu kupeleka Mifuko ya Saruji au Mabati au Chaki katika Shule walizosoma hawajawahi na wala hata mpango huo hawana.
Tukumbukeni mno kule Kulikotutoa.
Kuna Mijitu Ina Hela na Kazi nzuri na Kubwa lakini hata tu kupeleka Mifuko ya Saruji au Mabati au Chaki katika Shule walizosoma hawajawahi na wala hata mpango huo hawana.
Tukumbukeni mno kule Kulikotutoa.