Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Niliuliza chipsi kuku nikaambiwa 7000/= tena unapata kipapatio na shingo nilisikia kizungunzungu asee.Si wote tunamudu gharama zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliuliza chipsi kuku nikaambiwa 7000/= tena unapata kipapatio na shingo nilisikia kizungunzungu asee.Si wote tunamudu gharama zake.
Itakuwa Safari zako hazizidi Massa 3Wengine huwa hatuli chochote njiani.
Wewe unasema tu. Ila fanya wewe lkn watoto usiwateseSasa Dar es salaam hadi Moshi unabeba vyakula vya nini?
Katika hizo dakika 10 kuna foleni chooniMimi wiki hii nilisafiri Arusha na Kurudi Dar jana, kwenda na kurudi nilikula karanga na korosho tu + maji, maana hili tumbo siliamini tena [emoji23][emoji23][emoji23] tena sehemu ya kula derva katupa dakika 10
Bajeti ya kula K'njaro inatengwa tangu mwezi huu.Si wote tunamudu gharama zake.
Kwa Nini usimudu,na tupo uchumi wa kati?Si wote tunamudu gharama zake.
Leo umeongea point tupu.Wenye hoteli za njiani wengi hawatapenda hili bandiko. Lakini kusafiri na chakula ni muhimu hasa unapokua na watoto. Bei ya vyakula njiani ni kubwa pia ubora wake unatia mashaka...
Aisee na wale wa kisukari sasa wa kujisaidia lila saa. Nilipanda Ally's nikakaa na mtu mzima dah yaliyotokea njiani yalihuzunisha sanaHapo dereva amebeti na mwenzake, ukiwa na tumbo la kuhara pole.