Albina Member Joined Feb 7, 2012 Posts 60 Reaction score 21 Mar 11, 2012 Thread starter #21 Gemmy said: thanx i got a lesson lakn creativeness na uvumilivu ndio kila kitu Click to expand... Tume kumbushwa hapo juu kua hofu ya Mungu pia ni muhimu
Gemmy said: thanx i got a lesson lakn creativeness na uvumilivu ndio kila kitu Click to expand... Tume kumbushwa hapo juu kua hofu ya Mungu pia ni muhimu
P Paul mathew JF-Expert Member Joined Jan 20, 2012 Posts 275 Reaction score 60 Mar 11, 2012 #22 Hii nimeipenda, umesahau kulitumia neno" MSAMAHA" wanamahusiano tunapokoseana kuombana misamaha ni muhimu sana.
Hii nimeipenda, umesahau kulitumia neno" MSAMAHA" wanamahusiano tunapokoseana kuombana misamaha ni muhimu sana.
Albina Member Joined Feb 7, 2012 Posts 60 Reaction score 21 Mar 16, 2012 Thread starter #23 Paul mathew said: Hii nimeipenda, umesahau kulitumia neno" MSAMAHA" wanamahusiano tunapokoseana kuombana misamaha ni muhimu sana. Click to expand... Ewaaa,asante sana kwa kukumbusha Paul.
Paul mathew said: Hii nimeipenda, umesahau kulitumia neno" MSAMAHA" wanamahusiano tunapokoseana kuombana misamaha ni muhimu sana. Click to expand... Ewaaa,asante sana kwa kukumbusha Paul.
Da Asia JF-Expert Member Joined Sep 25, 2011 Posts 731 Reaction score 819 Mar 16, 2012 #24 Yule sio ndugu yako au mzazi kua umvumilie "creativeness na mapenzi". kama hakuna mapenzi huna sababu ya kuanza kuvumilia, ili iweje? ikifikia kuvumuliana ina maana malove davee kwishney. hapa ni uanze kuzonga mbele. Gemmy said: thanx i got a lesson lakn creativeness na uvumilivu ndio kila kitu Click to expand...
Yule sio ndugu yako au mzazi kua umvumilie "creativeness na mapenzi". kama hakuna mapenzi huna sababu ya kuanza kuvumilia, ili iweje? ikifikia kuvumuliana ina maana malove davee kwishney. hapa ni uanze kuzonga mbele. Gemmy said: thanx i got a lesson lakn creativeness na uvumilivu ndio kila kitu Click to expand...