Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Baada ya jana Mnyama mkali kuwakilisha vema na kuipeperusha bendera ya Mama Samia barani Afrika, duru za kimataifa zinasema furaha ya jana inaenda kutiwa doa leo pale kwa Ben.
Wazee wa kuchungulia wanasema nchi hii haiwezi kupeleka team mbili hatua ya robo fainali!
Tukutane usiku, Uzi tayari.
Wazee wa kuchungulia wanasema nchi hii haiwezi kupeleka team mbili hatua ya robo fainali!
Tukutane usiku, Uzi tayari.