Tujiandae kwa maumivu gani tena waungwana!?

Tujiandae kwa maumivu gani tena waungwana!?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
 
Mengine mtanisaidia ila hili la ukame wa maji, simple kila mtu atoke na dumu lake la maji nyumbani tukaujaze mto Ruvu maisha yaendelee... !!
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Mkuu umesahau ngano,sukari,mafuta,sabuni n.k

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Kituo kinachofuata, sukari, sembe, Michele, maharagwe, mafuta yakula, mihogo na viazi vitamu, Hadi hapo imekaaje wajameni?.
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Yakheee siye wa mkojaani twala hteendeee na gahawaaa
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Na kulipa kod ya majengo thru luku...tozo ya mwigulu..
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Ndiyo maana Lisu na Lema hawatarudi kamwe Tanzania
 
Back
Top Bottom