Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwaulize wa mtaa wa kijani huko ngapi? 🏃Tano bila sauti ya mwanakijani ilisikikaTumeipenda sisi wenyewe wacha ituuueeee.
Nambari one eeeeeeeeeeeee
Nambari oneeeeeeeeeeee
Nambari one ni ccmmmmmmmmmm
Sasa hivi wanasonya sonya hovyo tu huku macho yao yamekuwa mekundu utadhani wamelazimishwa kubugia pilipili kichaaaTuwaulize wa mtaa wa kijani huko ngapi? [emoji125]Tano bila sauti ya mwanakijani ilisikika
SUKARI NA MAFUTA YA KULA UMESAHAUInavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.
unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?
Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Tuwaambie waiache inyeshe tujue panapovuja.Sasa hivi wanasonya sonya hovyo tu huku macho yao yamekuwa mekundu utadhani wamelazimishwa kubugia pilipili kichaaa
Sasa hivi inanyesha utadhani tupo chini ya mbuyuTuwaambie waiache inyeshe tujue panapovuja.
Walisahau Mola ni wawote.Sasa hivi inanyesha utadhani tupo chini ya mbuyu
Kwao mola wao ni mzee MecoWalisahau Mola ni wawote.
Wasimwabudu binadamu Ila Mungu pekee.Kwao mola wao ni mzee Meco
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.
unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?
Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Upepo mkali na mvua weekend hiiInavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.
unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?
Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Mkuu Leta hoja mbona kimyakimyaNgoma na miziki yote kwa sasa inapigwa Lumumba, Ufipa wamebaki kudemka tu!!
Inavyoonekana siasa za nchi hii zimeelemewa na CCM maana pamoja na wapinzani kuwa katikati ya changamoto lukuki, bado habari zao hazipewi nafasi kubwa ya kuzungumzwa hasa humu mitandaoni. Kwa muda mrefu sana majina yaliyovutia mijadala mingi ni pamoja na Samia, Polepole, Nape, Sabaya, Shaka...www.jamiiforums.com
Hii itaongeza chimvi kidondaniUpepo mkali na mvua weekend hii
Kinachokuja ni magonjwa ya ajabu na watu kufa ovyo.Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.
unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?
Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Kinachokuja ni magonjwa ya ajabu na watu kufa kama kumbikumbiMkuu Leta hoja mbona kimyakimya