Tujiandae kwa maumivu gani tena waungwana!?

Tujiandae kwa maumivu gani tena waungwana!?

Wacha wasemeee...Chama cha Mapinduzi kina wenyeweeee!!!
 
Kwa Petrol ni Janga la kidunia ila Busara itumike kwa inapowezekana watu watumie mitungi ya gesi asilia kwenye magari yao
 
Tumeipenda sisi wenyewe wacha ituuueeee.


Nambari one eeeeeeeeeeeee
Nambari oneeeeeeeeeeee

Nambari one ni ccmmmmmmmmmm
Tuwaulize wa mtaa wa kijani huko ngapi? 🏃Tano bila sauti ya mwanakijani ilisikika
 
Tuwaulize wa mtaa wa kijani huko ngapi? [emoji125]Tano bila sauti ya mwanakijani ilisikika
Sasa hivi wanasonya sonya hovyo tu huku macho yao yamekuwa mekundu utadhani wamelazimishwa kubugia pilipili kichaaa
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
SUKARI NA MAFUTA YA KULA UMESAHAU
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Upepo mkali na mvua weekend hii
 
Inavyo onekana huu ni mwaka wa watanzania kukinywea kikombe cha mateso hii ni kama series
Tulianza na TOZO ikapoa, ikaja ONDOA MACHINGA kabla haijapoa, MGAO WA UMEME, tukiwa tunashangaa umeme, MGAO WA MAJI nao ndani, tukiwa bado tumeduwaa mara paap PETROLI BEI JUU, hiyo haikutosha VIFAA VYA UJENZI HAVISHIKIKI, huku na kule GESI NAYO HAIKAMATIKI.

unaweza kubashiri raundi hii tutapigwa wapi!?

Kwa mwelekeo ulivyo inaoneokana kuna kituo tunapelekwa hatujawahi kuota wala kuwaza Mungu tu ndiye ajuaye!!
Kinachokuja ni magonjwa ya ajabu na watu kufa ovyo.
 
Back
Top Bottom