PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Subaru forester XT 2009Subaru y Mwaka gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subaru forester XT 2009Subaru y Mwaka gani mkuu?
Unyama sn. Am a dead fan of subaruSubaru forester XT 2009
Ni ndege ya chini kwelikweli ukiachana na cruise control kuna feature nyingine ya SPORT, SPORT SHARP na PADDLE SHIFTERUnyama sn. Am a dead fan of subaru
Mzungu akili mingi saaana. Basi tu tunamkosea kumpambanisha na Mchina.Hapana hamna shida. Katika CC yoyote kitendo cha wewe kukanyaga breki unakua umeikatisha inamaanisha inaamini unataka wewe kutake over.
Hamna shida kabisa.
Mm Nipo na Impreza naona hii kuna baadhi y features wameinyima.. japo naenjoy sport mode, manual and automatic transmission change.. na vi features baadhi vya ziada.Ni ndege ya chini kwelikweli ukiachana na cruise control kuna feature nyingine ya SPORT, SPORT SHARP na PADDLE SHIFTER View attachment 3270067
Kawaida tuu mkuu.Ndio maana ile siku Poor Brain kanipa lift kwenye starlet yake jamaa alikua hata usukani hashiki, ati ni otomatiki inajiendesha yenyewe, daah nikabaki nashangaa tu jamaa akaongeza ati ile starlet yake na Tesla utofauti ni majina tu ila features ni zilezile.
Uzuri niliipiga picha Mad Max nipe madini hapa au Poor Brain aliona mi koro.
View attachment 3270107