Hahhahahaaa lol
Huyo jamaa kweli alifanya utafiti wa kutosha kabla ya kufikia conclusion hiyo?Nafikiri hapa hasira zilitawala zaidi hata kama kulikuwa na ukweli.Ila mpango wa kuchomeana vyeti,nguo na kuharibu laptop hata sio mpango kabisa.
Siku ukitata kunipiga kibuti hata utumie busara gana sitokuelewa hakyanani
Jamaa akijirudi je atarudi kuwa mpenzi wake ilihali ameshafanya uharibifu wa aina hii. Style za kuharibiana vitu kisa penzi limefika mwisho mie naliona la kishamba shamba hivi.
ha! kwani nyie wawili ni something?:wink2:
Nimepita hapa kuwasalimu na kuwaulizeni kama mnaukubali ukweli.
Maty hebu twende kule tafazali.:rain:
Hahahaaa lol
Babu Shikamoo!!!
Hahahaaa lol
Babu huku umikuja kufanya nini si nimekuacha umelala wewe
mdo unambie sasa.....bado robo saa