Tujifunze kushi Na wanawake

Suala ni kwamba kama mwanamke hajaamua ndoa haiwezi vunjika atavumilia yote hata kama mumewe
Ni kichomi

DJ sepetu
Kwa maana hiyo mwanaume hawezi vumilia sio... Ndo maana nikasema kila mmoja ana nafasi yake kwenye ndoa, hamna aliye mkamilifu tunavumiliana
 
Kwa maana hiyo mwanaume hawezi vumilia sio... Ndo maana nikasema kila mmoja ana nafasi yake kwenye ndoa, hamna aliye mkamilifu tunavumiliana
Nafasi zipo ila haziwezi kuwa balanced!
Mzigo mkubwa anao mwanamke

DJ sepetu
 
Huo mzigoo ni upi sasa.. Ni majukumu kama yalivyo mengine... Ila msifanye makusudi kisa eti mwanamke ni mvumilivu
Mfano kwa wale wenye mke zaidi ya mmoja za kimila au kidini
Unajisikiaje Ukiwa unaandaa harusi ya mke mwenzio au unasubiri tatu
Hili linahitaji super woman
Ambapo wengi hawako ivyo!

DJ sepetu
 
Maisha ya ndoa hayana formula, kila mmoja ana mchango mkubwa kuhakikisha ndoa ina dumu katika amani, furaha na upendo pia... Sio mwanamke tuu bali hata mwanaume ana nafasi kubwa katika kuhakikisha upendo na amani havikauki kwenye nyumba yake
Sawa kabisa
 
Mfano kwa wale wenye mke zaidi ya mmoja za kimila au kidini
Unajisikiaje Ukiwa unaandaa harusi ya mke mwenzio au unasubiri tatu
Hili linahitaji super woman
Ambapo wengi hawako ivyo!

DJ sepetu
Kumbe uvumilivu unaousemea ndo huo... Hamna mwanamke anaependa kuona mumewe ana mwanamke mwingine, ni sababu tuu ni sheria za kidini au kimila... Lakini kwa wanaume waelewa hawafuati hizo mila wala sheria sijui za dini... Sio kwa sababu hawawezi ni sababu wanajali hisia za wenza wao na ndo uvumilivu unajitokeza hapo sasa kwa mwanaume....
 
Ina maana babu zetu waliokuwa Na dozen za wake hawakua Na hisia za kujali
You miss the point some where we can't be equal!

DJ sepetu
 
Ina maana babu zetu waliokuwa Na dozen za wake hawakua Na hisia za kujali
You miss the point some where we can't be equal!

DJ sepetu
Walikuwa hawajali ndio, wao walithamini mila zaidi... Ndo maana nimesema usitumie kigezo cha mwanamke ni mvumilivu zaidi.... Ukandamizaji unaanzia hapooo
 
Msalaba wa Ndoa ni watu wawili.Sio mwanamke pekee.
 
Walikuwa hawajali ndio, wao walithamini mila zaidi... Ndo maana nimesema usitumie kigezo cha mwanamke ni mvumilivu zaidi.... Ukandamizaji unaanzia hapooo
Aisee! Nina drive eneo lina tatizo la mtandao nikifika eneo zuri nitakujibu

DJ sepetu
 
Kasoro yako hadi achepuke....

DJ sepetu
Kasoro yako hadi achepuke....

DJ sepetu
Kasoro yako hadi achepuke....

DJ sepetu
Kasoro yako hadi achepuke....

DJ sepetu
Kasoro yako hadi achepuke....

DJ sepetu
Kwa kweli huu ndio utaratibu niliyojiwekea mengine yote nimeapa kuyavumilia ila hili la kugawa tunda hapana aisee namuona kama gari la majitaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…