Tujifunze kutengeneza ndoto za watoto

Tujifunze kutengeneza ndoto za watoto

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kwa wale mliofika japani au tusiende mbali sana miaka ya nyuma kabla zimbabwe ijapotea kisiasa ilikuwa nchi bora sana kwa wazazi waliotembea kuwapeleka watoto wao.

Nitarudi nchi ya japani sababu ndio inaonyesha kuwa makini na watoto (samaki mkunje bado m'bichi).Japani wanaogopa sana kuzaa ,sio sababu ya kuogopa maana utakuwa umejiweka ulazima wa kumtengeneza mtoto miaka ya mbele ili kulinda heshima yako.

Japani wanaangalia watoto sana kuanzia malezi,shule na vipaji vyao ili mbeleni wasije kupata tabu kama inayotokea hapa afrika kufahamu mtu yupi ? ni nani ? , huku ufahamu tabia zake wale historia yake.

Kama tutaweza kuzingatia msingi wa mtoto basi mbeleni tutapata watu wenye kulifikisha taifa na afrika mbali.

"Msingi wa mtoto ni kama msingi wa nyumba na gorofa"

444155139_1788168741674584_7464179260903612742_n.jpg
 
Kukubwa ni pesa.bila pesa ndoto ya kumuandalia mazingira mazuri mtoto ni changamoto.kila mzazi anapenda mtoto wake awe na maisha mazuri baadae lakini kikwazo ni pesa.
 
Kukubwa ni pesa.bila pesa ndoto ya kumuandalia mazingira mazuri mtoto ni changamoto.kila mzazi anapenda mtoto wake awe na maisha mazuri baadae lakini kikwazo ni pesa.
Pesa ijengi ndoto bali ndoto itajenga pesa.hivi vyote unavyotumia vilianzia kwenye ndoto za watoto kisha pesa ikajileta yenyewe
 
Kukubwa ni pesa.bila pesa ndoto ya kumuandalia mazingira mazuri mtoto ni changamoto.kila mzazi anapenda mtoto wake awe na maisha mazuri baadae lakini kikwazo ni pesa.
Kabla ya hela , mfumo wa Elimu yetu sio mzuri, ndio maana sasa hivi matajiri wanasomesha watoto wao mitaala ya nje ya nchi.
Kwasababu watanzania wote hatuwezi kuwa matajiri serikali isiishie kujenga madarasa tu, iwekeze zaidi katika Demostration education maana ndio njia rahisi ya kuufungua uelewa wa mwanafunzi na kujua anachoweza zaidi ni nini,Dream is not created but realized.
 
Kabla ya hela , mfumo wa Elimu yetu sio mzuri, ndio maana sasa hivi matajiri wanasomesha watoto wao mitaala ya nje ya nchi.
Kwasababu watanzania wote hatuwezi kuwa matajiri serikali isiishie kujenga madarasa tu, iwekeze zaidi katika Demostration education maana ndio njia rahisi ya kuufungua uelewa wa mwanafunzi na kujua anachoweza zaidi ni nini,Dream is not created but realized.
Japani elimu inayoogopwa ni kuanzia chekechea mpaka shule ya msingi.kama serikali itaweza kulizingatia basi tutapata watu wazuri sana
 
Back
Top Bottom