BwanaSamaki012
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 212
- 250
Habari za jukumu wakuu
Ili nisiwachoshe naomba niandike kwa ufupi, hiki ambacho nimeona ni vyema kuwashirikisha
Kiasili asilimia 96% ya nchi ya Misri ni jangwa hali inayopelekea Misri kukumbwa na changamoto za kimazingira kama vile upungufu wa maji, ukame, joto kupita kiasi na changamoto nyingine nyingi za kimazingira
Pamoja na hayo yote bado kwa Africa, Misri ndio nchi ya kwanza Africa na ya sita duniani kwa uzalishaji wa samaki hasa wakufungwa ikizalisha 1.6 million tons of fish annually, wanaingiza zaidi ya USD 3.5 billion kwa mwaka, 80% ya wazalishaji wa samaki ni watu binafsi, sector hii imetengeneza ajila zaidi ya watu 300,000 nchini Misri
Tanzania imebarikiwa kuwa na vyazo vyingi sana vya maji, kuanzia maziwa makubwa, mito, mabwawa pamoja na bahari.
Lakini mbali na hivyo bado kwenye maeneo mengi wanaweza kuchimba visima na kupata maji yakutosha kutosheleza mahitaji ya jamii through out the year
Pamoja na yote bado hatu tumii ipasavyo rasilimali hii muhimu (maji) kwenye shughuli za kimaendeleo kama kilimo na ufugaji wa kisasa kama wanavyofanya Misri ambao rasilimali zao ni ndogo kuliko sisi
Naomba nijikite zaidi kwenye sector ya ufugaji samaki, ambayo kimsingi tumezidiwa mbali sana hata na majirani zetu Uganda
Mahitaji ya samaki nchini Tanzania ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake hali inayopelekea bei ya samaki kupanda kila siku
Lakini kama tutatumia vizuri vyanzo vyetu vya maji ipasavyo kufuga samaki kama wanavyofanya Misri na Uganda tunaweza kujikwamua
Mfano kwa sasa hivi kilo moja ya samaki sato ni kati ya Tsh 10,000 hadi 13,000 kwa maeneo mengi nchini.
Ila kama utamua kuzalisha mwenyewe samaki na kisha kuuza au kutumia kama kitoweo gharama ya kuzalisha kilo moja ya samaki Sato kwa wastani ni itakuwa Tsh 5,000 tu
Hii ina include gharama za utengenezaji wa mazingira ya kufugia, vifaranga na gharama za uendeshaji wa mradi hadi kufikia mavuno.
Kama kuna uwepo wa maji wa kutosha kwenye mazingira yako unaweza kuanza kwa kufuga samaki wachache tu kwa ajili ya kitoweo, hii itakusaidia kupunguza unnecessary cost
Lakini pia kama kwenye mazingira yako unayo maji yakutosha na unamtaji unaweza kufanya ufugaji wa samaki kibishara kwa kufuga samaki wengi
Imagine unakuwa na kibwawa kidogo unafuga samaki wako, pembeni kuna kibustani ya mbogamboga au maua, unatumia maji ya bwawa la samaki kumwagilia bustani yako.
Hapa Kumbuka, maji toka kwenye bwawa la samaki yanakuwa na mbolea bustani yako itazidi kustawi maradufu, hii inakuwa ni advantage unapiga ndege wawili kwa jiwe moja
Usiwaze kuhusu wapi unaweza pata muongozo wa namna ya kufuga samaki kisasa au wapi utapata vifaranga, mimi niko hapa kukupa muongozo
Bei ya vifaranga ni Tsh 250 na ufugaji ni rahisi, kitu kizuri zaidi unachotakiwa kufahamu ufugaji wa samaki hauhusishi matumizi ya chanjo wala madawa ya kila mwezi, kazi yako inakuwa ni maintain ubora wa maji na kuwalisha samaki wako chakula kwa wakati. After 6 months you will see the results
Now is the time to utilize our resources more effectively. Let's begin by embracing the practice of eating what we cultivate.
Kwa jambo lolote kuhusu ufugaji samaki unaweza kunichech directly
Call/WhatsApp: +255758779170
Ili nisiwachoshe naomba niandike kwa ufupi, hiki ambacho nimeona ni vyema kuwashirikisha
Kiasili asilimia 96% ya nchi ya Misri ni jangwa hali inayopelekea Misri kukumbwa na changamoto za kimazingira kama vile upungufu wa maji, ukame, joto kupita kiasi na changamoto nyingine nyingi za kimazingira
Pamoja na hayo yote bado kwa Africa, Misri ndio nchi ya kwanza Africa na ya sita duniani kwa uzalishaji wa samaki hasa wakufungwa ikizalisha 1.6 million tons of fish annually, wanaingiza zaidi ya USD 3.5 billion kwa mwaka, 80% ya wazalishaji wa samaki ni watu binafsi, sector hii imetengeneza ajila zaidi ya watu 300,000 nchini Misri
Tanzania imebarikiwa kuwa na vyazo vyingi sana vya maji, kuanzia maziwa makubwa, mito, mabwawa pamoja na bahari.
Lakini mbali na hivyo bado kwenye maeneo mengi wanaweza kuchimba visima na kupata maji yakutosha kutosheleza mahitaji ya jamii through out the year
Pamoja na yote bado hatu tumii ipasavyo rasilimali hii muhimu (maji) kwenye shughuli za kimaendeleo kama kilimo na ufugaji wa kisasa kama wanavyofanya Misri ambao rasilimali zao ni ndogo kuliko sisi
Naomba nijikite zaidi kwenye sector ya ufugaji samaki, ambayo kimsingi tumezidiwa mbali sana hata na majirani zetu Uganda
Mahitaji ya samaki nchini Tanzania ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake hali inayopelekea bei ya samaki kupanda kila siku
Lakini kama tutatumia vizuri vyanzo vyetu vya maji ipasavyo kufuga samaki kama wanavyofanya Misri na Uganda tunaweza kujikwamua
Mfano kwa sasa hivi kilo moja ya samaki sato ni kati ya Tsh 10,000 hadi 13,000 kwa maeneo mengi nchini.
Ila kama utamua kuzalisha mwenyewe samaki na kisha kuuza au kutumia kama kitoweo gharama ya kuzalisha kilo moja ya samaki Sato kwa wastani ni itakuwa Tsh 5,000 tu
Hii ina include gharama za utengenezaji wa mazingira ya kufugia, vifaranga na gharama za uendeshaji wa mradi hadi kufikia mavuno.
Kama kuna uwepo wa maji wa kutosha kwenye mazingira yako unaweza kuanza kwa kufuga samaki wachache tu kwa ajili ya kitoweo, hii itakusaidia kupunguza unnecessary cost
Lakini pia kama kwenye mazingira yako unayo maji yakutosha na unamtaji unaweza kufanya ufugaji wa samaki kibishara kwa kufuga samaki wengi
Imagine unakuwa na kibwawa kidogo unafuga samaki wako, pembeni kuna kibustani ya mbogamboga au maua, unatumia maji ya bwawa la samaki kumwagilia bustani yako.
Hapa Kumbuka, maji toka kwenye bwawa la samaki yanakuwa na mbolea bustani yako itazidi kustawi maradufu, hii inakuwa ni advantage unapiga ndege wawili kwa jiwe moja
Usiwaze kuhusu wapi unaweza pata muongozo wa namna ya kufuga samaki kisasa au wapi utapata vifaranga, mimi niko hapa kukupa muongozo
Bei ya vifaranga ni Tsh 250 na ufugaji ni rahisi, kitu kizuri zaidi unachotakiwa kufahamu ufugaji wa samaki hauhusishi matumizi ya chanjo wala madawa ya kila mwezi, kazi yako inakuwa ni maintain ubora wa maji na kuwalisha samaki wako chakula kwa wakati. After 6 months you will see the results
Now is the time to utilize our resources more effectively. Let's begin by embracing the practice of eating what we cultivate.
Kwa jambo lolote kuhusu ufugaji samaki unaweza kunichech directly
Call/WhatsApp: +255758779170