Tujifunze kuwaambia watu tunawakubali, kuliko kuwaiga na kufanya ushindani.

Tujifunze kuwaambia watu tunawakubali, kuliko kuwaiga na kufanya ushindani.

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu.....

Tujifunze ku normalize kuwaambia watu kwamba wana tu inspire kwa matendo yao au style ya maisha yao, kuliko kujaribu kuwa kama wao na kuanzisha competition.

Binadamu hatupo sawa, kila mtu ana uwezo wake na umahiri wake katika jambo fulani, lakini vijana wengi wanapenda kufanya ushindani na marafiki zao kwasababu tu wamezidiwa kitu fulani.

Tunaishi katika dunia ambayo kupeana appreciation ni jambo adimu sana, sio rahisi kijana mwenzio kukuambia kwamba wewe ni hodari katika jambo fulani, yupo tayari aige na kufanya ushindani na wewe ilhali anajua hawezi kuwa kama wewe.

Mfano, Rafiki anajua kwamba una uwezo mkubwa wa kuchambua na kufahamu mambo mbalimbali, badala asikilize na kujifunza kupitia wewe, anataka naye aoneshe anajua na kusema kila mara, kumbe hajui kitu na anajidhalilisha kwa kusema asiyo yajua.

Umemfundisha na kumjuza mambo mengi, lakini akijua tu kwamba uwezo wako upo mbali sana, na yeye anataka wakati mpo pamoja awe anakufundisha na kukujuza mambo, na kiuhalisia hakuna cha maana anachosema ila anataka tu na wewe uone kama anajua.


Binafsi hali hii imenifanya nitengane na marafiki wengi sana, maana wengine wanafikia hatua ya kuanza chuki bila sababu za msingi. Ilifika wakati nikawa mpweke sana, ndipo nikajua kwamba nakosea kuwatenga bali napaswa kuishi nao kwa kuelewa kwamba wanakuwa inspired lakini hawawezi kusema.


Let's normalize telling people "you inspire me" instead of copying them and acting like they're your competition.
 
ukisifiwa inasaidia nini? Kama una uhakika akikuiga atafeli hofu yako inatoka wapi? Elon angekuwa na akili za namna hiyo uliyopendekeza leo kampuni ya Space x isingekuwepo, vile vile mitandao ya simu na huduma nyinginezo, ushindani ni chachu ya ubunifu, usisubiri kusifiwa, komaa
 
ukisifiwa inasaidia nini? Kama una uhakika akikuiga atafeli hofu yako inatoka wapi? Elon angekuwa na akili za namna hiyo uliyopendekeza leo kampuni ya Space x isingekuwepo, vile vile mitandao ya simu na huduma nyinginezo, ushindani ni chachu ya ubunifu, usisubiri kusifiwa, komaa
Ni kweli kabisa mkuu, mwanzo nilikuwa sifahamu hilo na nilikuwa nakasirika sana, sasa nimejifunza kuwa ushindani ni hali ya kawaida kabisa katika maisha ya vijana.
 
Bado ni vijana wadogo ,wakikua hakuna mtu atahangaika na wewe zaidi ya kupambana na changamoto zake.
Sahihi mkuu, sasahivi bado majukumu sio mengi, tunakaa sana na kupiga story ila muda utafika na kila mtu atakuwa na mambo yake ya msingi.
 
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu.....

Tujifunze ku normalize kuwaambia watu kwamba wana tu inspire kwa matendo yao au style ya maisha yao, kuliko kujaribu kuwa kama wao na kuanzisha competition.

Binadamu hatupo sawa, kila mtu ana uwezo wake na umahiri wake katika jambo fulani, lakini vijana wengi wanapenda kufanya ushindani na marafiki zao kwasababu tu wamezidiwa kitu fulani.

Tunaishi katika dunia ambayo kupeana appreciation ni jambo adimu sana, sio rahisi kijana mwenzio kukuambia kwamba wewe ni hodari katika jambo fulani, yupo tayari aige na kufanya ushindani na wewe ilhali anajua hawezi kuwa kama wewe.

Mfano, Rafiki anajua kwamba una uwezo mkubwa wa kuchambua na kufahamu mambo mbalimbali, badala asikilize na kujifunza kupitia wewe, anataka naye aoneshe anajua na kusema kila mara, kumbe hajui kitu na anajidhalilisha kwa kusema asiyo yajua.

Umemfundisha na kumjuza mambo mengi, lakini akijua tu kwamba uwezo wako upo mbali sana, na yeye anataka wakati mpo pamoja awe anakufundisha na kukujuza mambo, na kiuhalisia hakuna cha maana anachosema ila anataka tu na wewe uone kama anajua.


Binafsi hali hii imenifanya nitengane na marafiki wengi sana, maana wengine wanafikia hatua ya kuanza chuki bila sababu za msingi. Ilifika wakati nikawa mpweke sana, ndipo nikajua kwamba nakosea kuwatenga bali napaswa kuishi nao kwa kuelewa kwamba wanakuwa inspired lakini hawawezi kusema.


Let's normalize telling people "you inspire me" instead of copying them and acting like they're your competition.
Mstaarabu na muelewa, au mjuzi wa mambo hasemi, hashindani, hajitetei. Vipi ushindane ma mtu maamuma, ukijua hana uwezo
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu.....

Tujifunze ku normalize kuwaambia watu kwamba wana tu inspire kwa matendo yao au style ya maisha yao, kuliko kujaribu kuwa kama wao na kuanzisha competition.

Binadamu hatupo sawa, kila mtu ana uwezo wake na umahiri wake katika jambo fulani, lakini vijana wengi wanapenda kufanya ushindani na marafiki zao kwasababu tu wamezidiwa kitu fulani.

Tunaishi katika dunia ambayo kupeana appreciation ni jambo adimu sana, sio rahisi kijana mwenzio kukuambia kwamba wewe ni hodari katika jambo fulani, yupo tayari aige na kufanya ushindani na wewe ilhali anajua hawezi kuwa kama wewe.

Mfano, Rafiki anajua kwamba una uwezo mkubwa wa kuchambua na kufahamu mambo mbalimbali, badala asikilize na kujifunza kupitia wewe, anataka naye aoneshe anajua na kusema kila mara, kumbe hajui kitu na anajidhalilisha kwa kusema asiyo yajua.

Umemfundisha na kumjuza mambo mengi, lakini akijua tu kwamba uwezo wako upo mbali sana, na yeye anataka wakati mpo pamoja awe anakufundisha na kukujuza mambo, na kiuhalisia hakuna cha maana anachosema ila anataka tu na wewe uone kama anajua.


Binafsi hali hii imenifanya nitengane na marafiki wengi sana, maana wengine wanafikia hatua ya kuanza chuki bila sababu za msingi. Ilifika wakati nikawa mpweke sana, ndipo nikajua kwamba nakosea kuwatenga bali napaswa kuishi nao kwa kuelewa kwamba wanakuwa inspired lakini hawawezi kusema.


Let's normalize telling people "you inspire me" instead of copying them and acting like they're your competita

Anayedai heshima,, kutambuliwa,, kusikilizwa, ni mshamba na limbukeni tu. Genius wote na great thinkers duniani utaona matokeo na kazi zao tu hawana muda na porojo mtaani. Kwanza muda wa kutaka kusikilizwa wanautoa wapi. Ukiona unahitaji attention ya watu,, una kasoro kichwani.
 
20240712_091158.jpg
 
Genius wote na great thinkers duniani utaona matokeo na kazi zao tu hawana muda na porojo mtaani. Kwanza muda wa kutaka kusikilizwa wanautoa wapi. Ukiona unahitaji attention ya watu,, una kasoro kichwani.
Hakuna sehemu nimesema au kudai kwamba mimi ni Genius, hakuna sehemu nimesema nataka kusikilizwa.

Point yangu ni kwamba tujifunze kuonesha appreciation kwa watu kwani sio dhambi kufanya hivyo.

Pia nimejifunza kukubaliana na hiyo hali, na mwerevu ni yule anaye jifunza baada ya kutenda kosa.
 
Mkuu ukifa TUTAKUSIFIA ila ukiwa mzima ww n mnafik wet haijalish una nin na ulifanya nin na umenizid nin,, na sikubar unishinde na hata ka kuna dalili za ushind washikaj wanaona kabisaaa m stori yang KUNA INSHU FLAN NAISIKILILIZIA IKITIKI TUUUU
 
Mkuu ukifa TUTAKUSIFIA ila ukiwa mzima ww n mnafik wet haijalish una nin na ulifanya nin na umenizid nin,, na sikubar unishinde na hata ka kuna dalili za ushind washikaj wanaona kabisaaa m stori yang KUNA INSHU FLAN NAISIKILILIZIA IKITIKI TUUUU
Ha ha ha ha ha a a a
 
Hakuna sehemu nimesema au kudai kwamba mimi ni Genius, hakuna sehemu nimesema nataka kusikilizwa.

Point yangu ni kwamba tujifunze kuonesha appreciation kwa watu kwani sio dhambi kufanya hivyo.

Pia nimejifunza kukubaliana na hiyo hali, na mwerevu ni yule anaye jifunza baada ya kutenda kosa.
Kama kimya na tuonyeshe matokeo ya uyajuayo, utafuatwa utaheshimika, utasikilizwa.
 
Mkuu ukifa TUTAKUSIFIA ila ukiwa mzima ww n mnafik wet haijalish una nin na ulifanya nin na umenizid nin,, na sikubar unishinde na hata ka kuna dalili za ushind washikaj wanaona kabisaaa m stori yang KUNA INSHU FLAN NAISIKILILIZIA IKITIKI TUUUU
Kweli kufa usifiwe, lakini mkuu nimegundua hilo, wengi ni wazito kusifia au kukubali mambo kama hayo.
 
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu.....

Tujifunze ku normalize kuwaambia watu kwamba wana tu inspire kwa matendo yao au style ya maisha yao, kuliko kujaribu kuwa kama wao na kuanzisha competition.

Binadamu hatupo sawa, kila mtu ana uwezo wake na umahiri wake katika jambo fulani, lakini vijana wengi wanapenda kufanya ushindani na marafiki zao kwasababu tu wamezidiwa kitu fulani.

Tunaishi katika dunia ambayo kupeana appreciation ni jambo adimu sana, sio rahisi kijana mwenzio kukuambia kwamba wewe ni hodari katika jambo fulani, yupo tayari aige na kufanya ushindani na wewe ilhali anajua hawezi kuwa kama wewe.

Mfano, Rafiki anajua kwamba una uwezo mkubwa wa kuchambua na kufahamu mambo mbalimbali, badala asikilize na kujifunza kupitia wewe, anataka naye aoneshe anajua na kusema kila mara, kumbe hajui kitu na anajidhalilisha kwa kusema asiyo yajua.

Umemfundisha na kumjuza mambo mengi, lakini akijua tu kwamba uwezo wako upo mbali sana, na yeye anataka wakati mpo pamoja awe anakufundisha na kukujuza mambo, na kiuhalisia hakuna cha maana anachosema ila anataka tu na wewe uone kama anajua.


Binafsi hali hii imenifanya nitengane na marafiki wengi sana, maana wengine wanafikia hatua ya kuanza chuki bila sababu za msingi. Ilifika wakati nikawa mpweke sana, ndipo nikajua kwamba nakosea kuwatenga bali napaswa kuishi nao kwa kuelewa kwamba wanakuwa inspired lakini hawawezi kusema.


Let's normalize telling people "you inspire me" instead of copying them and acting like they're your competition.
When you find someone smarter than you don't compete instead work with them,competition is weakness.

Huo ndio msemo ambao nimekuwa nikiishi nao baada ya kupevuka kifikra,niligundua kwamba ukiwa mtu wa kuuliza maswali unaonekana una akili kuliko ukiwa mtu wa kujitetea sana.

The best way ya kukaa na mtu smart ni kumuuliza maswali katika kile ambacho yuko smart nacho.

NJia hii itatufunza mengi kuliko tukianza na sisi kuonesha umwamba kwa hao watu
 
When you find someone smarter than you don't compete instead work with them,competition is weakness.

Huo ndio msemo ambao nimekuwa nikiishi nao baada ya kupevuka kifikra,niligundua kwamba ukiwa mtu wa kuuliza maswali unaonekana una akili kuliko ukiwa mtu wa kujitetea sana.

The best way ya kukaa na mtu smart ni kumuuliza maswali katika kile ambacho yuko smart nacho.

NJia hii itatufunza mengi kuliko tukianza na sisi kuonesha umwamba kwa hao watu
That's true, Huwezi kujua mambo mengi kama wewe sio mtu wa kuuliza maswali, mimi nauliza sana maswali mpaka Sometimes inakuwa kero.

Pia watu walio smart ni wachache kulinganisha na ambao hawapo smart, hivyo muda mwingi unajikuta upo na watu wa kawaida na wakijua unauwezo mkubwa ndipo matatzo huanzia hapo.
 
Back
Top Bottom