Hii ni kauli mbiu ya Chuo Kikuu Mzumbe S.L.P.1 Mororgoro, Tanzania. kutokana na hii kauli mbiu imewafanya viongozi wengi ambao wamepitia katika chuo hiki kuwa na hamu pamoja na uchungu katika kuleta maendeleo kwa wananchi hasa wale wenye uhitaji zaidi na hawana mtu wa kuwasemea changamoto zao.
Lakini hii haimaanishi kuwa vyuo vingine havitoi viongozi bora la hasha, Lakini viongozi ambao wametokea Chuo Kikuu Mzumbe hawajawahi kutuangusha.
Yote kwa yote, Mungu wabariki viongozi wetu wa Tanzania, pamoja na watu wake.
Mungu ibariki Tanzania na Afrika yote.
Karibuni sana Chuo Kikuu Mzumbe.
Lakini hii haimaanishi kuwa vyuo vingine havitoi viongozi bora la hasha, Lakini viongozi ambao wametokea Chuo Kikuu Mzumbe hawajawahi kutuangusha.
Yote kwa yote, Mungu wabariki viongozi wetu wa Tanzania, pamoja na watu wake.
Mungu ibariki Tanzania na Afrika yote.
Karibuni sana Chuo Kikuu Mzumbe.