V Vito Corleone JF-Expert Member Joined Apr 4, 2023 Posts 2,418 Reaction score 5,257 Jun 2, 2023 #21 Yusuph na ugumu wake alitaka alale mbele kuepuka aibu,sema malaika alimtuliza mtima.Soma maandiko vizuri.
Yusuph na ugumu wake alitaka alale mbele kuepuka aibu,sema malaika alimtuliza mtima.Soma maandiko vizuri.
Neuro JF-Expert Member Joined May 13, 2017 Posts 1,551 Reaction score 1,721 Jun 2, 2023 #22 da gulo said: Sijafanya dhihaka Ila nawakumbusha watu waache waache kusema vibaya.Mungu hapendi kuachana. Click to expand... Napia hapendi uzinzi, unaacha kukemea uzinzi ambao ndio chanzo unakemea kuachana. Unamdhihaki Mungu kweli, mwanaamke mwenzangu kakupa ukweli, dhambi haitetewi.
da gulo said: Sijafanya dhihaka Ila nawakumbusha watu waache waache kusema vibaya.Mungu hapendi kuachana. Click to expand... Napia hapendi uzinzi, unaacha kukemea uzinzi ambao ndio chanzo unakemea kuachana. Unamdhihaki Mungu kweli, mwanaamke mwenzangu kakupa ukweli, dhambi haitetewi.