gem platnumz
Member
- Jun 7, 2021
- 12
- 10
Watu wengi leo tumebaki na tunajiuliza kwanini wimbi la kuvunjika kwa ndoa linakua kwa kasi sana mashauri Mahakamani kuhusu taraka yamekuwa Mengi kiasi kwamba yanataka kuzidi Mashauri ya kesi za Ardhi?
Siku moja alinifata ndugu mmoja akawa ananisimulia kisa chake mke wake amekuwa akimfumania akichat na boss wake juu kutaka kumuoa na amuache yeye huyo mwanamme na kumuahidi vitu vizuri na kwa maelezo ya yule ndugu mke wake atakuwa anatembea na boss wake sawa yote tisa anakumbuka alimusomesha Mpaka chuo kikuu alisumbuka kuuza yebo yebo juani kufukuzana na migambo wa jiji ili amsomeshe mke wake huyo.
Kisa hichi kilinikumbusha vitu vingi sana nikakumbuka nina karibia kesi saba za ndoa leo nauliza kwanini NDOA NYINGI ZA SIKU HIZI ZINAVUNJIKA?
Siku moja alinifata ndugu mmoja akawa ananisimulia kisa chake mke wake amekuwa akimfumania akichat na boss wake juu kutaka kumuoa na amuache yeye huyo mwanamme na kumuahidi vitu vizuri na kwa maelezo ya yule ndugu mke wake atakuwa anatembea na boss wake sawa yote tisa anakumbuka alimusomesha Mpaka chuo kikuu alisumbuka kuuza yebo yebo juani kufukuzana na migambo wa jiji ili amsomeshe mke wake huyo.
Kisa hichi kilinikumbusha vitu vingi sana nikakumbuka nina karibia kesi saba za ndoa leo nauliza kwanini NDOA NYINGI ZA SIKU HIZI ZINAVUNJIKA?