Tujifunze: Niliuza simu na kuanzisha biashara

Tujifunze: Niliuza simu na kuanzisha biashara

uliuza kilo moja ukanunua vitu vyote hivyo? kweli? bei ya sukari ni 120000 sasa wewe ulikuwa na pesa ya ziada?
 
Habari wakuu,

Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi;
672caaba08585eec183c0594f7474fbe.jpg

1d6d44d89cc7a41e16a162c54a8667dd.jpg

Kama muonavyo hapo juu, nilinunua Yebo aina na rangi mbalimbali, mifuko ya sulfate(kipindi cha mavuno hiki), chumvi, viberiti na sukari.

Nazunguka mitaa na meneo ya jirani napanga mizigo yangu kama muonavyo hapo juu nachopata kidogo Mungu anasaidia.

Nimeona nilete kwenu ili tuweze kupeana fursa zingine na mawazo mbadala, pia lazima tujue laki moja pia ni mtaji tosha tu tatizo ni uthubutu.

NB: Simu hii nimeazima na huwa naazima mara moja moja kwa wife kuangalia labda email imepotea njia huko.

Nawasilisha, matusi dharau ni mwiko
Hongera sana Mkuu, hili ni wazo zuri. Kinachotakiwa sasa ni kuheshimu hiyo biashara na kujituma. Kuiheshimu nina maana kwamba uchunge matumizi yako ya fedha kutoka kwenye hiyo biashara, utakuja shangaa baadaye unamiliki frem, then duka. hili liwe fundisho kwa vijana anamiliki simu za shilingi yenye thamani hadi 1,500,000/= lakini anasema hana ajira !!!
 
Hongera sana Mkuu, hili ni wazo zuri. Kinachotakiwa sasa ni kuheshimu hiyo biashara na kujituma. Kuiheshimu nina maana kwamba uchunge matumizi yako ya fedha kutoka kwenye hiyo biashara, utakuja shangaa baadaye unamiliki frem, then duka. hili liwe fundisho kwa vijana anamiliki simu za shilingi yenye thamani hadi 1,500,000/= lakini anasema hana ajira !!!
ahsante mkuu kwa mawazo
 
Habari wakuu,

Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi;
672caaba08585eec183c0594f7474fbe.jpg

1d6d44d89cc7a41e16a162c54a8667dd.jpg

Kama muonavyo hapo juu, nilinunua Yebo aina na rangi mbalimbali, mifuko ya sulfate(kipindi cha mavuno hiki), chumvi, viberiti na sukari.

Nazunguka mitaa na meneo ya jirani napanga mizigo yangu kama muonavyo hapo juu nachopata kidogo Mungu anasaidia.

Nimeona nilete kwenu ili tuweze kupeana fursa zingine na mawazo mbadala, pia lazima tujue laki moja pia ni mtaji tosha tu tatizo ni uthubutu.

NB: Simu hii nimeazima na huwa naazima mara moja moja kwa wife kuangalia labda email imepotea njia huko.

Nawasilisha, matusi dharau ni mwiko
Well done.
 
i appreciate your idea coz it shows me how big determination u have' wengi wetu hatuna ujasiri wa kufanya ulichokiweza tumekumbatia smartphone na vitu vya gharama tena vya kupewa huku tumejifungia chumbani tukilia na ajira akat kuna fursa kibao
 
i appreciate your idea coz it shows me how big determination u have' wengi wetu hatuna ujasiri wa kufanya ulichokiweza tumekumbatia smartphone na vitu vya gharama tena vya kupewa huku tumejifungia chumbani tukilia na ajira akat kuna fursa kibao
kwel mkuu
 
Back
Top Bottom