Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

A to Z. Pesa tu mkuu.. kwo mji wote wa moshi, umejawa na watu wanawaza pesa tu? nzuri hiyo, itawafaa sana kupiga maendeleo. lakini hawa wachaga mbona wanapenda sana, kuoa wanawake wa kinyakyusa? kuna nini hapo.
Eti wanaogopa kuuliwa watakapo pata mali
 
Namba 12 nilijua ni mchaga mmoja tu mwenye makidai kumbe wako wengi.
Ninachowapendea zaidi wachaga wa kiume sio wachoyo. Wanajua kutafuta na kutumia pesa. Wajomba zangu shikamooni.
Marhabaa! Mpwa.
 
Km ww ni me,ukioa huko jiandae kuwa na michepuko nje mana hawawezi mtosheleza mwanaume kunako 6X6..
Kwa sababu mda wao mwingi hawawazi mapenzi kama makabila wengine[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante mkuu na karibu tena Moshi! It's a big blessing to host people who appreciate others! They call the place Kilimanjaro, I call it home! big up!
 
Hata hivyo mlibebwa sana tangu mwalimu hadi kikwete. Karibu utawala wore hamjawahi kukosa Waziri mkuu. Mmetake hiyo advantage ya fursa kumiliki uchumi na kujifanya wajanja. Sasa hivi mnasema mnaonewa?? Makabila mengine mbona walikuwa hawalalamiki?
Ok now tumemuachia ngosha awabebe ili tuone kama mtaifikia Moshi..
 
eh eh jiwe gizani...sasa kama mamake alijiua kisa dadake katembea na babake nifanyaje......
 
Nimeshangaa....dhulumati wakubwa ni nani hapa duniani?

Afuu bahili kinoma, na hawapendani wala! Mi ni mchaga

Wachagga wanapendana na wanasaidiana sana, Mchagga mmoja akifanikiwa lazima awabebe Wachagga wengine.
 
Mbege mbege mbege
yaap pombe ya kiasili ambayo inanyweka karibu sehemu zote tz
mbunge wa rombo miaka ya 1980's bwana ngalai aliwahi kwenda bungeni na mbege akitaka serikali iitambue kama pombe ya heshima tz
hata wazungu walikuwa wanaipenda sana enz za ukolon
 
bonge LA history
 
nimemwambia dada zetu hawawz tembea na watu wanaonuka kwapa kama yy
 
Namba mbili hapo,inategemea,umempata wapi huyo sweet mangi uliyeoa,wa mjini hawa ambao hawajuhi hata Lugha yao,hamna kitu,
Namba 3 hapo,hiyo hata wanawake wa kikinga,pale njombe,wanachakarika sana,sawa sawa na wamakua wa Lindi/masasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…