Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Wachagga ndio wa kwanza kuchapisha jarida lililosomwa miaka ya 50 na kitu na pia walikuwa ni wasomi wazuri kumbuka ni wakwanza kuwa na kamusi yao pia ; babu yangu alikuwa navyo aligonga miaka mia na 32 alikuwa ni mchili kama mnawajua watu hawa historia yao ...
 
M kila dem ninaempenda ni mchaga wapo wanne mikoa tofaut tofaut. Na cha ajabu zaidi kila demu ninaemuomba namba baad ya kuzoeana nae na kuuliza kabila huw ni mchaga.
Hapo ndipo nachoka
 
A to Z. Pesa tu mkuu.. kwo mji wote wa moshi, umejawa na watu wanawaza pesa tu? nzuri hiyo, itawafaa sana kupiga maendeleo. lakini hawa wachaga mbona wanapenda sana, kuoa wanawake wa kinyakyusa? kuna nini hapo.
Ngoma droo pia vijana wa kiume tok mby wanapend madem wa kichag
 
endelea kucheza sindimba hapo mtwara baada ya kuuza korosho
unaongeza mke wa pili huku unalala nyumba ya nyasi hongera kwa kujitambua


Angalia mpuuzi huyu...nimekuambia ninajitambua. Anaye jiambua analala kwenye nyumba ya nyasi? Kanywe mbege kule na mimeno yako ya kuoza.
 
Hili kabila la wachaga ni nouma,ukienda pale Moshi mjini idadi kubwa ya maduka ni ya Wachaga wenyewe. Watu wenye asili ya kihindi,kichina au kiarabu ni wachache sana pengine utakuta Singasinga ambao wengi wao hufanya kazi za ujenzi na engineering na wamekubali kushirikiana na wenyeji.
Lakini utakuta katika miji mingine wahindi,wachina na waarabu wamejaa kiasi kwamba wanawadharau wenyeji wanapoona wanaacha kufanya biashara na wazawa wenzao na kuwatajirisha wageni.
Siamini kama ukienda pale China au India ukapanga nyanya zako sokoni kama kuna mtu atakuja kununua.
UZALENDO NA UZAWA KWANZA,BILA KUFANYA HIVYO TUSITEGEMEE KUTOKA NG'O!
 
naam n kweli kbs mji wa moshi 99% investors n wenyeji achilia mbali mij kama mwanza,arusha ambako nako wachaga wame invest sana hasa mahotel
 
Naona unajiachia tu .....
Uwizi haujawahi kuwa mbinu ya kimaendeleo
ni laana tupu
waambie nduguzo wajibidiishe kutafuta vya halali
Get rich by any means necessary… vingine matokeo tu.. Kama Warren Buffet anavyosema… “Rule No. 1: Never lose money. Rule No. 2: Never forget rule No.1”…
 
Sifa yetu nyingine ni mwiko kuuza ardhi, ata upate shida vp huwezi kumsikia mchaga wa pale rombo eti anauza ardhi yake, ni uridhi toka kwa mababu, ila tukija hko mikoani kwenu tunawavua ardhi kuuuuuuubwa ata hekar 5 kwa 1m.tunatumia system ya go and expand. [emoji16]
 
So sisi ni maarufu kwa kununua ardhi kila nahali tunawahamisha, na ni mwiko kuuza ardhi.
 
Pia tuna sifa ya kuwa tunashirikishana fursa, aiseeeeee lasway njooo huku kuna fremu nzr sana na biashara ipo mno,,, mwambie na chuwa aje aangalie, [emoji3]
 
Tujifunze kutoka kwao Kuthubutu / Kujituma pasipo kukata tamaa/ Kupendana/ Roho ya utoaji (kutoa sadaka kwa muumba wetu) Tunajifunza pia kutoka kwao kuepuka uchoyo,majungu, fitina na figisufigisu. Tafuta rafiki wa kichaga utapiga hatua ya maendeleo.
 
ukweli mtupu
 
Tujifunze kutoka kwao Kuthubutu / Kujituma pasipo kukata tamaa/ Kupendana/ Roho ya utoaji (kutoa sadaka kwa muumba wetu) Tunajifunza pia kutoka kwao kuepuka uchoyo,majungu, fitina na figisufigisu. Tafuta rafiki wa kichaga utapiga hatua ya maendeleo.
ameen barikiwa kwa kusema ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…