Njuka II
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 414
- 733
Click View tab, then check (weka tick kwenye) gridlinesWakuu zile grid line ukifuta utazirushaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Click View tab, then check (weka tick kwenye) gridlinesWakuu zile grid line ukifuta utazirushaje
Sehemu ya tab ilivyoandikwa "View" utakutana na grid lines huko.Wakuu zile grid line ukifuta utazirushaje
VLOOKUP
tupe hata formula moja mkuuHii niliitumia sana na ilinisaidia kwenye kuvuta taarifa kutoka mikeka tofauti, lakini sasa nimesahau kuweka zile command. Kuna siku nilikesha nikijaribu kuingiza formula kuunganisha mikeka miwili mmoja una majina na namba na mwingine una namba tu.
Huyu mnyama hadi leo ananishinda naomba ufahamu kwenye hii.VLOOKUP
Ukiwa mvivu ku practise, lazima ukalie kuti kavuPamoja na yote Excel ni inanyoosha jamani kama hukukaa ukaisoma kwa uzuri.
Hii inafanana na ukiweka kasa kwenye namba ya kwanza ukiwa column hiyo hiyo buruza namba bila kuachia hadi namba ya 21=COUNTIFS(H19:H63,">=21") hii itatusaidia kuhesabu namba zote zilizo juu ya 20 kuanzia seli H19 hadi H63
ungekuwa na excel pembeni ungepractice hio unayosema wewe ni kufill hii kazi yake ni kuhesabu watu waliopata vigezo fulani mfano kwenye hio nimejaribu kuhesabu waliopata juu ya 21Hii inafanana na ukiweka kasa kwenye namba ya kwanza ukiwa column hiyo hiyo buruza namba bila kuachia hadi namba ya 21
Mm bianfs nazichezea sana Excel lkn mnyama vlookup amegoma kichwani, naniulizaga hii kichwa inataka niniHii niliitumia sana na ilinisaidia kwenye kuvuta taarifa kutoka mikeka tofauti, lakini sasa nimesahau kuweka zile command. Kuna siku nilikesha nikijaribu kuingiza formula kuunganisha mikeka miwili mmoja una majina na namba na mwingine una namba tu.
tupe unazozijua drMwaka may,2017 Hadi kufika December 2018 nilikuwa mkali Sana was hyo kitu nilikuwa mkali haswa kwani ktk kampuni niliyokuwa nafanyia Kaz tulietewa mtaalam wa kutufundisha ilikuwa tamu balaa kwani asilimi 99 ya Kaz zile ziliihitaji mtu kujuwa Excell vyema ,feliter ,kupanga , calculation zote
Sasa ajabu usipo fanya practice Hakika utasahau kila formula
ila kuna mkeka niliwahi kuwa nao una vlookup ngoja nitakutumia pm ujarbu kuukagua pengine unaweza elewa mi nilishindwa niliiona vigezo wameweka kwenye sheet nyingine afu jamaa anakuja kuingizia tu hukuMm bianfs nazichezea sana Excel lkn mnyama vlookup amegoma kichwani, naniulizaga hii kichwa inataka nini
Nilisimamishwa kazi kitengo flan serikalini, nikitengo cha kuchakata taarifa za multi sector wife Siku Moja ananikuta nachezea keyboard, nilivyokamatia nacheza na command prompt, nikitoka huku nacheza na Excel, basi mwendo wa vidole vi4 huku vinne hukuMwaka may,2017 Hadi kufika December 2018 nilikuwa mkali Sana was hyo kitu nilikuwa mkali haswa kwani ktk kampuni niliyokuwa nafanyia Kaz tulietewa mtaalam wa kutufundisha ilikuwa tamu balaa kwani asilimi 99 ya Kaz zile ziliihitaji mtu kujuwa Excell vyema ,feliter ,kupanga , calculation zote
Sasa ajabu usipo fanya practice Hakika utasahau kila formula
Natanguliza shukran mkuu Urban Edmundila kuna mkeka niliwahi kuwa nao una vlookup ngoja nitakutumia pm ujarbu kuukagua pengine unaweza elewa mi nilishindwa niliiona vigezo wameweka kwenye sheet nyingine afu jamaa anakuja kuingizia tu huku