Kwa teknolojia ilipofika hapa kwanini bado tunahitaji kua na black box kwenye ndege na kuitafuta kwa gharama kubwa hasa ndege inapopata ajali baharini? kwanini taarifa zisiwe zinatumwa moja kwa moja kutoka kwenye ndege kwenda kwenye control tower au sehemu yeyote ile maalum na kuhifadhiwa huko?
Nadhani muda umefika wa kubadili huu utaratibu,black box imeshapitwa na wakati kwa muda huu.
Mkuu black box ni muhim pale ambapo mfano mawasiliano yamekatika mfano yamekatikia mwanza kutoka control tower Alafu ndege inapotea kwenda kuanguka kigali Rwanda ,
Hii Blackbox inasaidia sana kujua nini kimeendelea baada ya kupoteza mawasiliano, au nini hasa marubani walikuwa wanajaribu ku report hakifiki,
Ila kwa kuongezea haitumiki Black box tu
There some ground Investigators so who works on ground where incident occurred or happened
How investigators work on the ground differs from country to country dependent on the lead investigator. But generally, separate teams will focus on different disciplines.
Kuna maeneo muhimu ya uchunguzi:
Engineering: inahusisha kujua jinsi g ani ndege ilikuwa inafanya kazi, design yake a system zake, hivi usaidia pia kwenye kuandaa report ya uchunguzi,
Operations: wanafanyiwa usaili au niite kuulizwa maswali ya papo kwa papo wafanyakazi wa ndege walio baki, ili kujua wana operate vipi,
Hawa wanaulizwa, flight crew, operators and regulators
Flight data: hapa ndo sasa Black boxes, surveillance and en-route radar, CCTV, still and video cameras hivi vinasaidia kujua mienendo ya ndege
Human factors: Hii inasaidia kujua ahsa binadamu au makosa ya kibinadamu yanayofanywa na shirika hilo jana nayo nini chanzo cha ajali
Lakin uchunguzi huu utumia muda sana
Once everything has been documented and photographed, and witnesses have been contacted, the wreckage is usually recovered and transported to a secure facility for extensive analysis.