muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Tanzania hatuna mitambo ya kusoma black box?,maana kuna ajari moja ilitokea,kisanduku kiliperekwa nje ya nchi kusomwa,hatuna wataalamu na mitambo au ilikuwa mipango ya jamaa kupanda pipa kwenda huko ughaibuni?..