Tujihadhari na huu utapeli unaofanywa mitandaoni na watu wanaojifanya eti ni mawakala wa makampuni ya simu

Tujihadhari na huu utapeli unaofanywa mitandaoni na watu wanaojifanya eti ni mawakala wa makampuni ya simu

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Kuna utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wanaodai kwamba ni mawakala wa makampuni ya simu na kwamba wanaweza wakakupatia bando za Internet kwa bei nafuu kama huyu tapeli anayeitwa "Maulidi Athumani Muhenga" anavyojaribu kudanganya hapa.

Habari. Naitwa Emmanuel Natoa Code Mpya Za Internet Unapata. ~GB10 sh 3000 mwezi ~GB15 sh 5000 mwezi Tigo, voda, artel, na halotel.

Baadaye nikajaribu kumtumia leo hii hii shilingi 11,000/- kwa njia ya M-pesa ili anitumie bando ya GB 25 kwa mwezi kama alivyodai ili nione uongo wake kama ujumbe huu wa M-pesa unavyoonyesha hapa chini:

BJB1EZ8BNVT Imethibitishwa Tsh11,000.00 imetumwa kwa 255758498651 - MAULIDI ATHUMANI MUHENGA Tarehe 11/10/24 saa 1:44 PM Jumla ya Ada Tsh350.00 (M-Pesa Ada Tsh350.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako ni Tsh162,581.99.

Soma Pia: Huu ni Ushahidi wa Wizi unaofanywa na Kampuni ya Simu ya Airtel

Hiyo ilikua majira ya saa 7:44 mchana wa leo na baada ya hapo tu huyo tapeli "Maulidi Athumani Muhenga" hakuweza kupokea tena simu japo awali alidai zoezi hilo lingekamilika ndani ya dakika 5 tu lakini ndo akatoweka hivyo.

Hivyo tujihadhari na hawa matapeli wa mtandaoni.
 
Kuna utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wanaodai kwamba ni mawakala wa makampuni ya simu na kwamba wanaweza wakakupatia bando za Internet kwa bei nafuu kama huyu tapeli anayeitwa "Maulidi Athumani Muhenga" anavyojaribu kudanganya hapa.

Habari. Naitwa Emmanuel Natoa Code Mpya Za Internet Unapata. ~GB10 sh 3000 mwezi ~GB15 sh 5000 mwezi Tigo, voda, artel, na halotel.

Baadaye nikajaribu kumtumia leo hii hii shilingi 11,000/- kwa njia ya M-pesa ili anitumie bando ya GB 25 kwa mwezi kama alivyodai ili nione uongo wake kama ujumbe huu wa M-pesa unavyoonyesha hapa chini:

BJB1EZ8BNVT Imethibitishwa Tsh11,000.00 imetumwa kwa 255758498651 - MAULIDI ATHUMANI MUHENGA Tarehe 11/10/24 saa 1:44 PM Jumla ya Ada Tsh350.00 (M-Pesa Ada Tsh350.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako ni Tsh162,581.99.

Soma Pia: Huu ni Ushahidi wa Wizi unaofanywa na Kampuni ya Simu ya Airtel

Hiyo ilikua majira ya saa 7:44 mchana wa leo na baada ya hapo tu huyo tapeli "Maulidi Athumani Muhenga" hakuweza kupokea tena simu japo awali alidai zoezi hilo lingekamilika ndani ya dakika 5 tu lakini ndo akatoweka hivyo.

Hivyo tujihadhari na hawa matapeli wa mtandaoni.
Wataarifu TCRA.
 
Kuna utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wanaodai kwamba ni mawakala wa makampuni ya simu na kwamba wanaweza wakakupatia bando za Internet kwa bei nafuu kama huyu tapeli anayeitwa "Maulidi Athumani Muhenga" anavyojaribu kudanganya hapa.

Habari. Naitwa Emmanuel Natoa Code Mpya Za Internet Unapata. ~GB10 sh 3000 mwezi ~GB15 sh 5000 mwezi Tigo, voda, artel, na halotel.

Baadaye nikajaribu kumtumia leo hii hii shilingi 11,000/- kwa njia ya M-pesa ili anitumie bando ya GB 25 kwa mwezi kama alivyodai ili nione uongo wake kama ujumbe huu wa M-pesa unavyoonyesha hapa chini:

BJB1EZ8BNVT Imethibitishwa Tsh11,000.00 imetumwa kwa 255758498651 - MAULIDI ATHUMANI MUHENGA Tarehe 11/10/24 saa 1:44 PM Jumla ya Ada Tsh350.00 (M-Pesa Ada Tsh350.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako ni Tsh162,581.99.

Soma Pia: Huu ni Ushahidi wa Wizi unaofanywa na Kampuni ya Simu ya Airtel

Hiyo ilikua majira ya saa 7:44 mchana wa leo na baada ya hapo tu huyo tapeli "Maulidi Athumani Muhenga" hakuweza kupokea tena simu japo awali alidai zoezi hilo lingekamilika ndani ya dakika 5 tu lakini ndo akatoweka hivyo.

Hivyo tujihadhari na hawa matapeli wa mtandaoni.
Daaaaah! Ina maana bado mnatapeliwa na akili mnazo.
 
Kuna utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wanaodai kwamba ni mawakala wa makampuni ya simu na kwamba wanaweza wakakupatia bando za Internet kwa bei nafuu kama huyu tapeli anayeitwa "Maulidi Athumani Muhenga" anavyojaribu kudanganya hapa.

Habari. Naitwa Emmanuel Natoa Code Mpya Za Internet Unapata. ~GB10 sh 3000 mwezi ~GB15 sh 5000 mwezi Tigo, voda, artel, na halotel.

Baadaye nikajaribu kumtumia leo hii hii shilingi 11,000/- kwa njia ya M-pesa ili anitumie bando ya GB 25 kwa mwezi kama alivyodai ili nione uongo wake kama ujumbe huu wa M-pesa unavyoonyesha hapa chini:

BJB1EZ8BNVT Imethibitishwa Tsh11,000.00 imetumwa kwa 255758498651 - MAULIDI ATHUMANI MUHENGA Tarehe 11/10/24 saa 1:44 PM Jumla ya Ada Tsh350.00 (M-Pesa Ada Tsh350.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako ni Tsh162,581.99.

Soma Pia: Huu ni Ushahidi wa Wizi unaofanywa na Kampuni ya Simu ya Airtel

Hiyo ilikua majira ya saa 7:44 mchana wa leo na baada ya hapo tu huyo tapeli "Maulidi Athumani Muhenga" hakuweza kupokea tena simu japo awali alidai zoezi hilo lingekamilika ndani ya dakika 5 tu lakini ndo akatoweka hivyo.

Hivyo tujihadhari na hawa matapeli wa mtandaoni.
Umepigwa kizembe sana mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😎😎😎
 
Mimi baada ya kupigwa tukio siku moja sijawahi amini watu tena kwenye mambo ya hela
 
Huduma za hivyo huwa hatutumi pesa kwanza Mkuu, huduma kwanza pesa ni baada ya kupokea hizo GB’s.
Nilivyomwelewa, hakuwa na shida ya kuhurumia pesa, shida yake ni kukamatisha huyo mwizi ili aone mwisho wake.

Haujawahi kusamehe deni kwa mtu ili kumkata mazoea?

Maana asipokulipa hatakuja kuleta mazoea kwako tena, anakuwa kajifuta mwenyewe.

Na kwa issue ya mleta mada, huyo tapeli ndiyo kafika mwisho wake.
 
Afu sorry
Kuna hii issue ya Vpn za free internet
Mbona zinagoma
 
Sasa hapo ilitakiwa kila anaesoma ujumbe awe anampigia simu au kumtumia SMS
Atachanganyokiwa
 
Baadaye nikajaribu kumtumia leo hii hii shilingi 11,000/- kwa njia ya M-pesa ili anitumie bando ya GB 25 kwa mwezi kama alivyodai ili nione uongo wake kama ujumbe huu wa M-pesa unavyoonyesha hapa chini:
Ukajaribu au ukatuma?😄

Umetapeliwa kizembe sana ndugu
 
Umeshakutana na hawa wanaotuma sms kama hii.

Habar za leo mi mwenye nyumba wako mbona kimya sana siku zinazidi kwenda?
 
  • Kicheko
Reactions: apk
Ukajaribu au ukatuma?😄

Umetapeliwa kizembe sana ndugu
Nikatuma. Kwenye kutapeliwa hakuna mjanja.

You get conned in a moment of inattention and a moment when you realize it, you find it's already late and you find no room for amendment.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hizo bando kweli zipo ila hizo bei walizokuwekea hapo akili tu ilitakiwa kukwambia ni utapeli.
 
Back
Top Bottom