A al Majiid JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 605 Reaction score 1,187 Oct 12, 2024 #21 Sisyphus said: Eti nikajaribu kutuma ili nione UONGO WAKE, ushauona sasa Click to expand... jamaa alikuwa serious wala hakuwa anajaribu ila baada ya kutapeliwa ndio anajidai alikuwa anampima wakati hela kashatuma hapa anajifariji tu huyo baada ya kupigwa kwa kujidai hana uchungu na hio hela aliyotoa wakati inamuuma.!
Sisyphus said: Eti nikajaribu kutuma ili nione UONGO WAKE, ushauona sasa Click to expand... jamaa alikuwa serious wala hakuwa anajaribu ila baada ya kutapeliwa ndio anajidai alikuwa anampima wakati hela kashatuma hapa anajifariji tu huyo baada ya kupigwa kwa kujidai hana uchungu na hio hela aliyotoa wakati inamuuma.!
Mundele Makusu JF-Expert Member Joined Sep 28, 2021 Posts 2,488 Reaction score 3,481 Oct 12, 2024 #22 Tunashukuru kwa darasa mkuu
Niwaheri JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 2,994 Reaction score 4,729 Oct 12, 2024 #23 Wabongo wanatapeliwa kizembe sana
I Imeloa JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 14,885 Reaction score 18,083 Oct 12, 2024 Thread starter #24 Sisyphus said: Eti nikajaribu kutuma ili nione UONGO WAKE, ushauona sasa Click to expand... Niliona nimpe kile waingereza wanaita the benefit of the doubt.
Sisyphus said: Eti nikajaribu kutuma ili nione UONGO WAKE, ushauona sasa Click to expand... Niliona nimpe kile waingereza wanaita the benefit of the doubt.
I Imeloa JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 14,885 Reaction score 18,083 Oct 12, 2024 Thread starter #25 Niwaheri said: Wabongo wanatapeliwa kizembe sana Click to expand... Ukiona mtu ameugua maradhi yoyote hata ukimwi usimcheke mpe tu pole, humu duniani hakuna mjanja.
Niwaheri said: Wabongo wanatapeliwa kizembe sana Click to expand... Ukiona mtu ameugua maradhi yoyote hata ukimwi usimcheke mpe tu pole, humu duniani hakuna mjanja.
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Oct 12, 2024 #26 Nifah said: Huduma za hivyo huwa hatutumi pesa kwanza Mkuu, huduma kwanza pesa ni baada ya kupokea hizo GBβs. Click to expand... ππ»ππ»ππ»
Nifah said: Huduma za hivyo huwa hatutumi pesa kwanza Mkuu, huduma kwanza pesa ni baada ya kupokea hizo GBβs. Click to expand... ππ»ππ»ππ»
Tindo JF-Expert Member Joined Sep 28, 2011 Posts 63,730 Reaction score 111,542 Oct 12, 2024 #27 Townchild said: Wataarifu TCRA. Click to expand... TCRA wao wanashughulika na watu wanaokosoa viongozi tu.
Townchild said: Wataarifu TCRA. Click to expand... TCRA wao wanashughulika na watu wanaokosoa viongozi tu.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Oct 13, 2024 #28 Tindo said: TCRA wao wanashughulika na watu wanaokosoa viongozi tu. Click to expand... Hii ndio tanzania bora tuwe tena koloni la mmarekani,ngoja mzee trumpet anarudi.
Tindo said: TCRA wao wanashughulika na watu wanaokosoa viongozi tu. Click to expand... Hii ndio tanzania bora tuwe tena koloni la mmarekani,ngoja mzee trumpet anarudi.